Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
namuunga mkono huyu aliyesema wamekuja kivingine, kama wanataka uvunjike kwa nini tuwalazimishe vunja tupa kule.
Umenikumbusha juu ya waraka wa kichochezi juzi hapo Unguja- "hatuwataki Wapemba," "hatuitaki SUK," "Tunataka Muungano wa serikali mbili, lakini Pemba isiwepo".