PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,521
- 13,110
Ohoooo!!!Nawewe huwa unajianika kule?Mie ningekuwa upande mwingine kuleee "badoo" hahahha
Ohoooo!!!Nawewe huwa unajianika kule?Mie ningekuwa upande mwingine kuleee "badoo" hahahha
tuko pamoja Mkuu mm pia ningekua zang hapa nacheza GTAV au fifa17 kwnye ps3 maana ninayoNingekuwa nacheza PS3
Sh'kamoo mshana JrKusema kweli kama isingekuwa JF muda huu huu ningekuwa kilingeni nawanga na kufanya ushirikina... Thanks JF
Wakuu Tuwe Wa kweli.
JF Toka Imeanzishwa imekuwa na Mchango Mkubwa sana kwa Jamii kwa Ujumla hasa wale wanaoitumia JF kwa Manufaa .
Wengi tumefanikiwa na wengine Wametulia mahala walipo wakiendelea kujifunza mambo mengi kupitia JF.
Ukiangalia kwa Undani japo JF wanaijumuisha kuwa sehemu ya Mitandao ya Kijamii lakini Majukwaa mengi sana yamejikita katika kuelimisha zaidi.. Kuna Kila aina ya Jukwaa kulinga na Mahitaji ya Kila Member.
Kama isingiekuwa JF Muda huu ningekuwa nasinzia Hapa kazini tu Maake siyo kila Muda unakuwa na Mood ya Kazi.
Hongera Mkuu Max Melo kwa kazi Nzuri Ningependekeza Tuangalia cha Kumfanyia huyu Founder wa JF Mwisho mwa Mwaka Huu...
Nawasilisha