Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,759
- 2,795
Mtandao wetu huu umekuwa kiburudisho kwa members wote bila shaka!
Mimi binafsi kila ninapopata muda lazima nichungulie huku yaani ni "lazima"
Humu tumo na watu wa aina zote! Wenye kuburudisha, kuhabarisha, kufundisha/kuelimisha, kukosoa, kutia moyo, wa kukatisha tamaa, wa kuponda wengine nk. Sasa unakosaje maeneo haya
Kuna watu ambao nafurahi kuona michango yao ambao sitaki niwataje ili kuepusha.. ni watu ambao wanatumia busara za kipekee ktk michango yao
Tuachane na hayo, kupitia ninyi wanajf nimetatua baadhi ya changamoto ktk familia yangu, pia nimetumia baadhi ya mawazo ya yenu kutatua changamoto za kiuchumi
Hivyo jf naitumia kwa faida. Je wewe kuna kitu unaingiza/ umeingiza kichwani kupitia jf?
jf inakusaidia vipi!?
Mimi binafsi kila ninapopata muda lazima nichungulie huku yaani ni "lazima"
Humu tumo na watu wa aina zote! Wenye kuburudisha, kuhabarisha, kufundisha/kuelimisha, kukosoa, kutia moyo, wa kukatisha tamaa, wa kuponda wengine nk. Sasa unakosaje maeneo haya
Kuna watu ambao nafurahi kuona michango yao ambao sitaki niwataje ili kuepusha.. ni watu ambao wanatumia busara za kipekee ktk michango yao
Tuachane na hayo, kupitia ninyi wanajf nimetatua baadhi ya changamoto ktk familia yangu, pia nimetumia baadhi ya mawazo ya yenu kutatua changamoto za kiuchumi
Hivyo jf naitumia kwa faida. Je wewe kuna kitu unaingiza/ umeingiza kichwani kupitia jf?
jf inakusaidia vipi!?