Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 416
- 462
Wanabodi kiongozi ni kioo cha anaewaongoza. Kazi kubwa ya kioo ni kuangalia mwonekano wako au wa kitu ambacho macho hauwezi ona moja kwa moja. Vivyo hivyo kwa kuwa kiongozi, jamii inayoongozwa utazamwa na kupimwa kutokana na kiongozi wake.
Sinashaka na uongozi wa juu wa nchi yangu Tanzania, ila ninamashaka na watu wa karibu na uongozi huo ambao wanawajibaka katika kupendekeza wateuliwa.
Kuna dosari kubwa katika mfumo wa uteuzi wa viongozi na hata katikati idara ya utumishi katika kuteua wakuu wa vitengo, Taasisi na idara za serikari.
Process hii ya uteuzi inaathiliwa saana na ukabila, ukanda na ukada. Athali ya hayo ni kubwa mno kuliko udini hapa Tz na inapelekea kuteuliwa na kupewa dhamana wasiofaa.
Natamani kuona busara na hekima nyingi kwa wakuu wa wilaya na mikoa, hivyo, nilitarajia kuona viongozi wakomavu katika kuongoza na si ukada.
Labda macho ya wateuwaji yanaona zaidi yangu, lakini baadhi ya wateule hapana.
Niwatakie mabadiliko mema ya kiutendaji na uongozi uliotukuka wateuliwa wote.
Sinashaka na uongozi wa juu wa nchi yangu Tanzania, ila ninamashaka na watu wa karibu na uongozi huo ambao wanawajibaka katika kupendekeza wateuliwa.
Kuna dosari kubwa katika mfumo wa uteuzi wa viongozi na hata katikati idara ya utumishi katika kuteua wakuu wa vitengo, Taasisi na idara za serikari.
Process hii ya uteuzi inaathiliwa saana na ukabila, ukanda na ukada. Athali ya hayo ni kubwa mno kuliko udini hapa Tz na inapelekea kuteuliwa na kupewa dhamana wasiofaa.
Natamani kuona busara na hekima nyingi kwa wakuu wa wilaya na mikoa, hivyo, nilitarajia kuona viongozi wakomavu katika kuongoza na si ukada.
Labda macho ya wateuwaji yanaona zaidi yangu, lakini baadhi ya wateule hapana.
Niwatakie mabadiliko mema ya kiutendaji na uongozi uliotukuka wateuliwa wote.