Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,501
heeeeUnataka nini? Mgegedo?
heeeeUnataka nini? Mgegedo?
heeee
Wee umeonyesha jinsi gani ulivyo, kuwa na gari mjini ni big deal sana nn.......Hilo Gari Sio Lako Umevizia Boss Kashuka Ukapiga Picha Kutambia Humu Ili Wadada Waje PM. Hilo Ndo Lengo La Uzi Wako. Samahani MKuu .
Weeee hahaaa subil na Mimi niwahi pmWatu Wanajua Kutega Vibaya PM Yake Leo Itajaa Babe Tu.....
Rafiki hutakiwi hapa JF please!Weeee hahaaa subil na Mimi niwahi pm
kila la kheri. Usisahau kuleta mrejesho hapa.................Weeee hahaaa subil na Mimi niwahi pm
Hahah nishapita kwa mchinaRafiki hutakiwi hapa JF please!
Hiyo sasa tunamuonea...kwani yeye ndio anaviweka? Hata kuvikagua sio lazima yeye. Sema kwa taarifa hii subiri mtiti wake. Mkandarasi lazima achutame na anaweza kosa malipo yote yaliyobaki. Cheza na bashite wewe....sometimes yuko vizuri kwy kuwabana makandarasi rongorongo sema huwa hachagui maneno ukiingia kwy 18 zake. Utajuta kuzaliwa Tanzania.Jiji linaongozwa na bashite, division zero! Unategemea nini...
Kwa hiyo sasa hivi una chura kama hii!Hahah nishapita kwa mchina




Safi sana, you went a little bit furtherkuna kitu hujaelewa..hiko kibao kilishikiliwa na misumari miwili
wa juu na wa chini
sasa wa juu ukaachia...ndo kikateremka kimebaki kushikiliwa na msumari wa chini
Kwa sababu hana churaKwanini?
Mkuu mbona unatumia marashi ya bei rahisi hivyoHuyu mtu alieweka hiki kibao atakuwa amelipwa hela kwa kazi hii na aliemlipa alitakiwa akague sasa sijui hiki kibao kimegeuzwa na upepo? Kipo mtaa wa Ohio Dar.View attachment 647154
Ndio mkuu lazima tuzingatie wadhfaDuh hata air freshener ninunue designer?


