Jiji linaongozwa na bashite, division zero! Unategemea nini...
Ni kweli. Lakini je wahusika hawajaliona hlo.? na vipo vingi tu vimeanguka. Lakini wahusika wanapuuzia.kuna kitu hujaelewa..hiko kibao kilishikiliwa na misumari miwili
wa juu na wa chini
sasa wa juu ukaachia...ndo kikateremka kimebaki kushikiliwa na msumari wa chini
Si kweli hivi mdada anaweza kuja pm Lisa Gari???Hilo Gari Sio Lako Umevizia Boss Kashuka Ukapiga Picha Kutambia Humu Ili Wadada Waje PM. Hilo Ndo Lengo La Uzi Wako. Samahani MKuu .
We jamaa unazingua hicho kibao ni kwa ajili ya hedikoputa na bombedia, nyie wenye magari hakiwahusu, ukiwa angani kinasomeka kwa usahihi zaidi

Nimepita tena leo nikasimama hapo. NI KWELI KUNA BOLT MOJA YA JUU IMECHOMOKA. Lakini bado hatuko serious maanake kimekaa muda mrefu sana.Basi wamekusudia
labda lengo kisitumike hapo but kisipotee
njia ya kukihifadhi kwa matumizi sehemu ingine baadae
You were 120% right. Ila bado inabidi tuwe serious kiko hivyo muda mrefu sana.kuna kitu hujaelewa..hiko kibao kilishikiliwa na misumari miwili
wa juu na wa chini
sasa wa juu ukaachia...ndo kikateremka kimebaki kushikiliwa na msumari wa chini