M marcus dedsec JF-Expert Member Joined Nov 29, 2017 Posts 944 Reaction score 988 Dec 13, 2017 #61 Kumbe ndio wa upande wa pili ndio wapo hivi?
Zuriel_cfc JF-Expert Member Joined Nov 2, 2017 Posts 4,096 Reaction score 9,074 Dec 13, 2017 #62 Ndo mmeo alikuaga amesafiri kikazi alafu akakutumia picha hiyo na maneno "beby nimefika salama salmini Dodoma, vikao vinaanza rasmi kesho" Wanaume muwe na huruma aisee
Ndo mmeo alikuaga amesafiri kikazi alafu akakutumia picha hiyo na maneno "beby nimefika salama salmini Dodoma, vikao vinaanza rasmi kesho" Wanaume muwe na huruma aisee
Gunst JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 3,142 Reaction score 6,032 Dec 13, 2017 Thread starter #63 Kasie said: Kuna ambao wamesimamisha kwa kuangalia taswira ya kwenye kioo. Na wengine wameshikwa na mfadhaiko...... Ingekuwa ya mwana kaka ndoo iko kwenye kioo uuwiiih ningekimbilia bafuni ....... Tamu sanaa. Click to expand... Kusimamisha tena !
Kasie said: Kuna ambao wamesimamisha kwa kuangalia taswira ya kwenye kioo. Na wengine wameshikwa na mfadhaiko...... Ingekuwa ya mwana kaka ndoo iko kwenye kioo uuwiiih ningekimbilia bafuni ....... Tamu sanaa. Click to expand... Kusimamisha tena !
R RtsHjcq JF-Expert Member Joined Aug 19, 2017 Posts 4,753 Reaction score 5,516 Dec 13, 2017 #65 Duh!!,ila toto ni kali..huyo ni kucheza naye tuy
K keysman Senior Member Joined Oct 5, 2016 Posts 112 Reaction score 82 Dec 13, 2017 #66 Bonny said: hii pasi inaonekana ni very expensive Click to expand... Ya kawaida tuu kma 25 au 35000 kkoo
Bonny said: hii pasi inaonekana ni very expensive Click to expand... Ya kawaida tuu kma 25 au 35000 kkoo
ney kush JF-Expert Member Joined Feb 16, 2012 Posts 1,416 Reaction score 951 Dec 13, 2017 #67 Thelonious said: Kioo hakidanganyi mama umejipodoa umepodokaaa Click to expand... daaaaah hiv mkuu... niliishia season 3 ipo ya ngap saiv
Thelonious said: Kioo hakidanganyi mama umejipodoa umepodokaaa Click to expand... daaaaah hiv mkuu... niliishia season 3 ipo ya ngap saiv
Dragoon JF-Expert Member Joined Nov 24, 2013 Posts 7,012 Reaction score 8,146 Dec 13, 2017 #68 hapa sio Hostel za chou flani?
kauga JR JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 3,545 Reaction score 2,148 Dec 14, 2017 #69 Duuuuhhj
wilbald JF-Expert Member Joined Dec 17, 2007 Posts 1,810 Reaction score 1,378 Dec 14, 2017 #70 Kajamaa hakana stamina kabisa...yaani kanamwacha Dada na nguvu za kupiga picha badala ya kulala fofofo?
Kajamaa hakana stamina kabisa...yaani kanamwacha Dada na nguvu za kupiga picha badala ya kulala fofofo?
Gunst JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 3,142 Reaction score 6,032 Dec 14, 2017 Thread starter #71 Low Battery said: Khaah... Kweli kioo ni noma..! Click to expand... Usikiamini sana
Gunst JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 3,142 Reaction score 6,032 Dec 14, 2017 Thread starter #72 kisu cha ngariba said: Mpiga picha katokea kwenye picha. Click to expand... Hatari sana
youngkato JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 3,641 Reaction score 3,659 Dec 14, 2017 #73 Kiooo
mgunga pori JF-Expert Member Joined Jul 23, 2016 Posts 4,093 Reaction score 4,912 Dec 14, 2017 #74 Kioo kiooo Kioo kiooo Alikiviunja naani Wamwisho akamaatwe
mgunga pori JF-Expert Member Joined Jul 23, 2016 Posts 4,093 Reaction score 4,912 Dec 14, 2017 #75 Joowzey said: Halafu hapo mezani kuna picha ya huyo mwanamke akiwa ndani ya joho!! Click to expand... Etaata kioo hakidanganyi
Joowzey said: Halafu hapo mezani kuna picha ya huyo mwanamke akiwa ndani ya joho!! Click to expand... Etaata kioo hakidanganyi
cosmonaut JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 1,392 Reaction score 2,770 Dec 14, 2017 #76 Demiss said: Khaaaaa Click to expand... Mkuuu kama ulipotea humu majukwaani dizaini, kwema!
cosmonaut JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 1,392 Reaction score 2,770 Dec 14, 2017 #77 Sakayo said: Hizo ni viatu ama sendo!! Angezivaa ingependeza zaidi Click to expand... Hata mm amenishangaza sana, huyo jamaa angevaa hizo sendoz angependeza zaidi...
Sakayo said: Hizo ni viatu ama sendo!! Angezivaa ingependeza zaidi Click to expand... Hata mm amenishangaza sana, huyo jamaa angevaa hizo sendoz angependeza zaidi...
Sammo Hung JF-Expert Member Joined Aug 4, 2017 Posts 1,165 Reaction score 1,355 Dec 14, 2017 #78 finyango said: Kimevimbaa Click to expand... Mkuu mbona kioo naona kipo flat au unazungumzia kitu gani
finyango said: Kimevimbaa Click to expand... Mkuu mbona kioo naona kipo flat au unazungumzia kitu gani
Kasie Platinum Member Joined Dec 29, 2013 Posts 22,801 Reaction score 43,177 Dec 14, 2017 #79 Jungle Warrior said: Kusimamisha tena ! Click to expand... Haswaaaa
the say JF-Expert Member Joined Oct 25, 2014 Posts 2,774 Reaction score 3,369 Dec 14, 2017 #80 Na Mimi ni mbea nimejikuta nazoom yaan