Tuwe makini na vioo

Tuwe makini na vioo

Kuna ambao wamesimamisha kwa kuangalia taswira ya kwenye kioo. Na wengine wameshikwa na mfadhaiko......

Ingekuwa ya mwana kaka ndoo iko kwenye kioo uuwiiih ningekimbilia bafuni .......

Tamu sanaa.
Duuh.. Ungekimbilia bafuni na nini.?
 
Kuna ambao wamesimamisha kwa kuangalia taswira ya kwenye kioo. Na wengine wameshikwa na mfadhaiko......

Ingekuwa ya mwana kaka ndoo iko kwenye kioo uuwiiih ningekimbilia bafuni .......

Tamu sanaa.
Natamani japo nikuone
 
Nimejikuta nikijaribu Ku-Zoom...!
Najiuliza sijui nataka kutazama nini...?
 
Imagine unamtumia my wife wako kumwambia umefika salama, upo very tired na unataka kulala mapema
Mwambie kuwa ni picture ya ukutani opposite na ukuta wenye kioo, kisha ongeza kuwa hujafurahishwa na picha walizo pamba chumbani na hivyo umeamuwa kulala maramoja tu kwa sabubu ya uchovu hasubuhi unahama japo umewaambia picha zile 3 waziondoe unapo endelea kutumia chumba hicho
 
Password naipataje

Hahahahaaa na wewe unataka??!!! Hehehehehehehe

Ngoja kesho nikiamka salama na hangover ikiniisha ntaiweka hapa jamvini kwa kila atakaye taka.

Ila kuna maswali atayeweza kuyajibu kiufasaha ndo atapata password.
 
Mbaya zaid ni mchepuko na picha unamtumia wife
 
Back
Top Bottom