kethika
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 630
- 472
Watu wachunguzi !Halafu hapo mezani kuna picha ya huyo mwanamke akiwa ndani ya joho!!
Watu wachunguzi !Halafu hapo mezani kuna picha ya huyo mwanamke akiwa ndani ya joho!!
Mmmmm watu waongo utawajua tu kwa uwezo wao wa kudanganya!Mwambie kuwa ni picture ya ukutani opposite na ukuta wenye kioo, kisha ongeza kuwa hujafurahishwa na picha walizo pamba chumbani na hivyo umeamuwa kulala maramoja tu kwa sabubu ya uchovu hasubuhi unahama japo umewaambia picha zile 3 waziondoe unapo endelea kutumia chumba hicho
ndugu yangu mimi siyo muongo, nimejaribu tu kufikiria huyo mzembe aliye ruhusu hali hiyo kutokea afanyeje.Mmmmm watu waongo utawajua tu kwa uwezo wao wa kudanganya!
Kwema jaman kimeo kiliibiwaa now nipoMkuuu kama ulipotea humu majukwaani dizaini, kwema!
Poleee......Kwema jaman kimeo kiliibiwaa now nipo
Nilipitisha utakuwa hukuona but nashukuru wanaonipenda walinisaidia nikaenda dar kuchukua now nitakuwepo sana tu usjaliPoleee......
Ungekuja humu kutupigisha hata kamchangooo
Anyway, "if people noted and felt ya absence,then u are appriciatted,loved and missed"
Hajaanza kula kabisa mkuuTu assume jamaa ndo keshamaliza hivyo au ni halftime hiyo?
Au wa Dar huyu?