MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,156
- 6,571
...Tatizo mpiga picha kakosea kujiweka pembeni sana...Duh! Kweli, kioo hakidanganyi!!
Namuona mpiga picha kwa mbali.
Angekuwa kati ingependeza zaidi
...Tatizo mpiga picha kakosea kujiweka pembeni sana...Duh! Kweli, kioo hakidanganyi!!
Namuona mpiga picha kwa mbali.
Ila amefaidi EheeNdo walikua wanaagana
Jamaa yuko safarini anamtumia mkewe picha hii na kumwambia:Nimeshukia kwenye hoteli moja ovyoovyo, niko mwenyewe baby yaani nimekumiss ile mbaya yaani.
Kwa Maelezo haya hata kama hajaonekana huyo mpigaji Ni lazima uulize nan kakupigaJamaa yuko safarini anamtumia mkewe picha hii na kumwambia:Nimeshukia kwenye hoteli moja ovyoovyo, niko mwenyewe baby yaani nimekumiss ile mbaya yaani.
(hebu fikiria atakalowaza huyo mke)
Tuwe makini na vioo....
Mhhh...am a kweli....hata uone papuchi million utatamani uendelee kuziona hata zifike zillion mana kuna zenye masikio mpaka mashavu...🙂🙂🙂hujawahi kuwaona tangu uzaliwe?
Id hii hatari![]()
![]()
hii naona ni papa original alafu iko na uchebe kwa mbaliii
hahahahahhii pasi inaonekana ni very expensive
ndo tupo ivo bhana hahkumbe ndo wako hivo
Unamtumia mkeo Bby nimefika Hotel nashukuru Mungu safari ilikuwa nzuri.