PreGE2025 Tuwe Makini! Mwaka Huu CCM tutazomewa sana!

PreGE2025 Tuwe Makini! Mwaka Huu CCM tutazomewa sana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Lofa wa kwenye matibabu hachekewi gentleman šŸ’
Gentleman Wasira lofa sana injini ya bodi eti lofa wa matibabu, yeye anakwemda mbinguni mwaka wa uchaguzi kupitia India! Lofa sana na wenzake wamesema hawaendi mbinguni.
 
kuzomea picha ni ulofa wa kiwango cha juu sana gentleman, ni vizuri kufahamu hilo.

halafu hao abiria wazomea picha ni watu wazima au watoto? ulivyowashuhudia unadhani ni wa mikoa gani na gani kwa mfano?šŸ’
We mwenyewe ukionekana live na mdela wako wa kijani tutakuzomea pia mnatutilia aibu mno basi tu hatupendi kumwaga damu hamsahiki kabisa kuwa madarakani
 
We jamaa kuna siku tukikuona live unavyopenda kubisha kila jambo utazani wahaa waburundi
Kumuona jamaa laivu ni ndoto nzuri za mchana baada ya kushiba samaki na mihogo na kujilaza kwenye ufukwe wa South Beach kule kigamboni, ni sawa na useme una miadi ya kuonana na Benjamin Netanyahu, Mugabe au Roho Mtakatifu au hata Shetani kama vipi, kwani nini ni gani?!
 
Duh kuna bro mmoja juzi kati ni mwanayanga kindakindaki pia ni mjumbe kule Yanga but alikuwa akisikitika sana kupotea Kwa Nyang'ali. Alionesha kusononeka na jambo hili. Wengine ni wanayanga kabisa but yanayoendelea hayawafurahishi kabisa
 
We mwenyewe ukionekana live na mdela wako wa kijani tutakuzomea pia mnatutilia aibu mno basi tu hatupendi kumwaga damu hamsahiki kabisa kuwa madarakani
ulofa mwingine ni wa kindezi gentleman, dah


eti watu wazima kabisa wenye akili timamu na huenda wanafamilia kabisa wanajikusanya mahali kuzomea picha, dah!🤣


kachanganyikiwa kwingine ni kwa fedheha sana aise
 
Back
Top Bottom