Nilikuwa ninasafiri kwenda Shinyanga, kufika maeneo ya pale Puma Singida, kuna picha imetundikwa kando ya barabara ya Mbunge Elibariki Kingu wa Singida Magharibi akiwa kapiga na Mheshimiwa Rais. Basi abiria tuliokuwemo mle baadhi wakaanza kuzizomea hizo picha kwa disappointments.
Maneno yaliyoongewa humo yakiambatana na hiyo zomea siwezi kuyasema humu kwani nitapigwa ban. Ukweli mchungu kuwa ni kweli CCM wanasemwa kwa ukweli kabisa tumeziba masikio kwa pamba na ukatili umetujaa mno.
Kabla ya Puma tulipita pale Ikungi na maneno yaliyosemwa kuhusu TAL utaona utofauti. Mpaka sasa hatuwezi kamwe kuiua CHADEMA mioyoni mwa watu hata tufanye nini!
Maneno yaliyoongewa humo yakiambatana na hiyo zomea siwezi kuyasema humu kwani nitapigwa ban. Ukweli mchungu kuwa ni kweli CCM wanasemwa kwa ukweli kabisa tumeziba masikio kwa pamba na ukatili umetujaa mno.
Kabla ya Puma tulipita pale Ikungi na maneno yaliyosemwa kuhusu TAL utaona utofauti. Mpaka sasa hatuwezi kamwe kuiua CHADEMA mioyoni mwa watu hata tufanye nini!