Tanganyikana
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 1,160
- 364
Yaan natamani na mm niwe mume wa mtu ili niwe nagegeda kila siku bila kondom tu
Yaan mke raha sana anakupikia chakula unachokitaka anakufulia nguo vizuri we ukiamka asubuhi unasepa tuu lkn ukirudi unakuta kila kitu kimepangiliwa anakupenda anakuliwaza yaan hta km ukukosa ela upati plesha kivile yaan we ukirudi unagegeda tu buleeeeee yaan na mm ntaoa aisee tena nkioa hta si msaliti mke wangu
Tatizo kwa wanawake wa sikuhizi kumpata wa namna hiyo ni vigumu sana.