Tuwapende wake zetu. Nimeamini

Tuwapende wake zetu. Nimeamini

Hapo kwenye visual na audio umeniacha hoi!! Make umesema unafanya nae kazi Ofisi moja!! Plz ongezea nyama kidogo isije kuwa kicheche kanyang'anywa kifaranga na mwewe.
 
Habari za Leo wanajf. Mimi ni mume wa mtu. Nina ndoa ya miaka mitano. Kwenye ndoa kuna masaibu mengi. Lakini nimekuja kugundua kuwa love u r wife with all u r heart. Mpende mpaka basi. Yeye peke yake inawezekana ndo mwanamke anayekupenda jinsi ulivyo no matter what. Na inawezekana ndo mwanamke peke yake unayemgegeda bila kutoa hela.

Katika kazi zangu nimekuwa nafanya kazi na mdada mmoja mke wa mtu. Baada ya kuzoeana akaanza kuniambia kuhusu mapungufu ya mume wake na mapungufu ya ndoa yake. Kosa langu ni kutaka kumsaidia kimawazo. It was the biggest mistake. Kilichofuata tulijikuta tuna mapenzi mazito sana sana. Kiasi kwamba ikabidi Mimi nimwambie what we are doing sio. Haya mapenzi tuyahamishie majumbani mwetu. Hakuwa tayari kwa hilo. Akasema ninamgegeda kiasi ambacho mume wake haoni ndani. Kwangu anasema naongea naye vizuri. Nina jali. Nina huruma na upendo wa kweli. Na ninamtreat kama mwanamke mpaka raha.

All in all akaomba nikipata safari ya semina nimpange apate per diem kwani Ana shida na pesa(naweza kumpanga safari nikitaka) basi nikampanga safari moja mkoa Fulani. Wakati huo mi nilikuwa mkoa mwingine kabisa. Baada ya Mimi kumaliza kazi mapema nikasema ngoja nimsuprise nilipokuwa nimempanga kwenye seminar. Nilifika mkoa aliokuwa mida ya saa mbili ucku. Kwa sababu hotel aliyofikia nilishaifahamu nikaamua muda usogee kidogo ili nimsuprise vizuri. Nikawa nimeenda sehemu kupata mbili tatu.

Kama saa tatu ucku huo akatuma SMS kuuliza mbona kimya halafu akatuma SMS tena kusema analala. Dah nikaona sio kawaida. Nikaamua kumalizia kilaji fasta nikaenda alipofikia. Kuuliza reception wakasema alitoka na hajarudi.

To cut the story short alirudi baadaye sana na taxi ambapo kwenye taxi alikuwa yeye na mwanaume. Kumbuka nilipofika hapo hotelini kwake sikumpigia simu kujua yuko wapi. Alivyorudi akaomba msamaha pale lakini sikumwelewa. Ikabidi nikalale sehemu tofauti. Kesho yake nikaondoka nikarudi dar makao makuu. Nilivyofika home nilimwona mama watoto kama malaika. Kwa kweli nilimpenda sana mke wangu. Na mpaka sasa huniambii kitu. Baada ya siku moja yule mke wa mtu alinieleza kilichotokea lakini nilipopiga simu kunconfirm nilitambua ameniambia uongo. Kwa kifupi ni kicheche ila ukimwona huwezi kumdhani. Mpaka sasa nimekata mawasiliano ya visual na audio lakini haelewi.

Kikubwa ninachotaka kusema ni kwamba tuwapende wake zetu kwa nguvu zote. Wao ndo wanawake wa kweli. Wengine ni players. Mke wako ndo anakujua nje ndani. Ukiwa na hela au huna yeye ndo mke wako. Tuwapende kwa kweli. Tuwagegede mpaka basi. Mpaka hamu ya kwenda nje iishe. Na nyie wake za watu tulieni kwenye ndoa zenu. Huwezi kupata nafuu nje. Ukiumizwa na mume wako usilipize nje lipiza kwa kumpenda zaidi.

What I can say.....!!
Don’’t waste time giving someone a second chance, when there is someone better waiting for you kwa nyumba..
 
Hapo kwenye visual na audio umeniacha hoi!! Make umesema unafanya nae kazi Ofisi moja!! Plz ongezea nyama kidogo isije kuwa kicheche kanyang'anywa kifaranga na mwewe.

Like I said. Naepuka kuongea naye. Na kwa sababu ofisi inajua nimeoa na yeye ameolewa sitaki kumuona kama sio kazi direct na sitaki mawasiliano kama sio ya kazi. Halafu kazi yangu inaruhusu kutokuongea naye directly.
 
swali sahihi mkuu. mi nachoona ni kuheshimu sheria na kanuni za Mungu, ndoa ni zaidi ya tamthilia na hadithi za kutunga kama hizi

Yekevalia
Sijatunga chochote. Kila nilichosema ni kweli na haki. Kama kwa njia moja au nyingine unamuumiza mke wako. Basi mtizame vizuri Leo. Kabisa mkazie macho. Muulize kama nilishawahi kukuumiza mpaka ukayamani kutoka nje ya ndoa. Read between the lines
 
Mmepima afya? Kama mchepuko nae anachepuka ujue anytime mnakuwa electrically connected

Pesa mdogo
That was the first thing. Nilienda naye angaza kwa kumshutukiza. Akagomaa kabisa. Yaani kabisa anasema hapimi. Next week nikamshikia kisu. Tukaenda. Bahati nzuri it was good news untill today.
 
Duh. Imagine ndio mke wako anaenda semina huko na anachepuka. What a waste?

Ndoa zisikie kwa jirani ila yakikufika utatamani uivunje leo.
 
Mkuu nafanyia kazi andiko lako limenichoma sana huwa nikitoka kwenye michepuko yangu narudi namkuta wife namtizama nafsi inanisuta tu sijui ninachokosa kwa wife lakini Mimi nimekubuhu kwa michepuko sijui ntabadilika vip
 
Mkuu nafanyia kazi andiko lako limenichoma sana huwa nikitoka kwenye michepuko yangu narudi namkuta wife namtizama nafsi inanisuta tu sijui ninachokosa kwa wife lakini Mimi nimekubuhu kwa michepuko sijui ntabadilika vip

Fanya hivi mkuu:-

-Mrudie Mungu atakubadilisha,

-Ongea na wife kiustaarabu na kiakili (indirectly) mwambie akufanyie yale unayofanyiwa na mchepuko...mfano styles za mapenzi,usafi,caring n.k na unaweza kumfunza pia.
 
Mkuu nafanyia kazi andiko lako limenichoma sana huwa nikitoka kwenye michepuko yangu narudi namkuta wife namtizama nafsi inanisuta tu sijui ninachokosa kwa wife lakini Mimi nimekubuhu kwa michepuko sijui ntabadilika vip

Kweli umezidi utapata radhi ya machozi ya mkeo ndo utajutraaa wewe ndo mana wanaume huwa mnatangulia kwa Muumba. Acha hyo tabia
 
Yaan natamani na mm niwe mume wa mtu ili niwe nagegeda kila siku bila kondom tu
Yaan mke raha sana anakupikia chakula unachokitaka anakufulia nguo vizuri we ukiamka asubuhi unasepa tuu lkn ukirudi unakuta kila kitu kimepangiliwa anakupenda anakuliwaza yaan hta km ukukosa ela upati plesha kivile yaan we ukirudi unagegeda tu buleeeeee yaan na mm ntaoa aisee tena nkioa hta si msaliti mke wangu
 
This is why Naeza sema nimeoa hata hapa JF, Niweke picha yangu ama mtoto wangu bila kugombwa!
LOV U
my ZUENA,
and our beloved daughter GUINEVERE
 
Last edited by a moderator:
juhakalulujuha umesema ukweli mtupu mkuu, somo lako nimelikubali na nimejifunza kitu, asante sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom