kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,604
- Thread starter
- #21
Mwandishi, Mhadhiri, Askari, mtafiti,mfanyakazi....anashindwa kusema, kuandika, kufundisha, kutenda Yale yampasayo kwa kutegeshea cheo na uteuzi na kuacha mambo aliyosomea yakipepea nusu mlingotiMambo ya hovyo sana. Kila mtu anasaka kuteuliwa. Nchi hii naishi kwakuwa tu wazazi wangu walizaliwa Bongo