Tuwakumbushe: Mch. Gwajima ulitoa ahadi. Je, greda jembe kati lipo wapi?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,755
Video inajieleza.



Watu wa Kawe wanauliza greda uliloahidi kununua mara tu baada ya kichaguliwa lipo wapi?

Je baba Mchungaji, utakuja na uongo upi tena mwaka 2025?

Tuanze kukumbushana ahafi za uongo zilizotolewa kuhadaa wapigakura 2019/2020
 
Video inajieleza.


View attachment 2865826
Watu wa Kawe wanauliza greda uliloahidi kununua mara tu baada ya kichaguliwa lipo wapi?

Je baba Mchungaji, utakuja na uongo upi tena mwaka 2025?

Tuanze kukumbushana ahafi za uongo zilizotolewa kuhadaa wapigakura 2019/2020
Mimi nimeshachukuwa passport ñasubili kukwea pipa Tu Mheshimiwa atupeleke USA.

Kuna Jamaa zangu nao wanasubili boti za uvuvi kutoka Japan kama walivyoahidiwa.
 
Video inajieleza.


View attachment 2865826
Watu wa Kawe wanauliza greda uliloahidi kununua mara tu baada ya kichaguliwa lipo wapi?

Je baba Mchungaji, utakuja na uongo upi tena mwaka 2025?

Tuanze kukumbushana ahafi za uongo zilizotolewa kuhadaa wapigakura 2019/2020
ASKOFU kaamua kutenda DHAMBI ya UONGO kwa Ajili ya Fedha za Bunge

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Brother hivi kwani Gwaji boy hamumjui vema?

Sent using Jamii Forums mobile app
20231224_095052.jpg
 
Mimi nipo hapa kusubiri boti ya kwenda kuvua bahari kuu bila kusahau safari ya kwenda japan kujifunza mambo ya uvuvi na kule Birmingham walau kuosha macho.
 
Usitaje CCM hayo aliahidi mwenyewe. Mwaka 2025 wataahidiwa kupelekwa Mars na kila kaya kupata helikopta
CCM inapaswa kujitokeza na kukanusha hizo ahadi za mbunge kwamba zilikuwa ni zake na haziwakilishi majukumu ya chama.

Mna uhuni mwingi sana huko ndani
 
Back
Top Bottom