Tuwakumbuke watangazaje wa 80s RTD!

Tuwakumbuke watangazaje wa 80s RTD!

Shinto

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2010
Posts
1,781
Reaction score
98
Wandungu,
Nimekumbuka sana enzi zile kijijini. Mpira munasikiliza kwenye Radio Tanzania tuu! Na vipinde vingine.. Majira, asubuhi njema, misakato, mchana mwema, club rahaleo show, jioni njema, kahawa ni mali, tuimbe sote nk.......
Muna wakumbuka watangazaji hawa?

  1. Ahmed Jongo
  2. Salum Mkumba
  3. Omar jongo
  4. Christine Chokonogela
  5. Tumbo Tamimu Risasa
  6. Salum Mbonde
  7. Juma Ngondae
  8. David Wakati
  9. Julius Nyaisanga
  10. Abdalla Mlawa
......Endelea........
 
Wandungu,Nimekumbuka sana enzi zile kijijini. Mpira munasikiliza kwenye Radio Tanzania tuu! Na vipinde vingine.. Majira, asubuhi njema, misakato, mchana mwema, club rahaleo show, jioni njema, kahawa ni mali, tuimbe sote nk.......Muna wakumbuka watangazaji hawa?
  1. Ahmed Jongo
  2. Salum Mkumba
  3. Omar jongo
  4. Christine Chokonogela
  5. Tumbo Tamimu Risasa
  6. Salum Mbonde
  7. Juma Ngondae
  8. David Wakati
  9. Julius Nyaisanga
  10. Abdalla Mlawa
......Endelea........
Hii kitu nadhani imeshawahi kuzungumzwa sana hapa JF kama sikosei... Ipo! Lakini si mbaya tena kwa mara nyingine.. Klabu raha leooo... Shoooo!! na Enock Ngombale. Debora Mwenda na Mama na Mwana!!
 
Wandungu,
Nimekumbuka sana enzi zile kijijini. Mpira munasikiliza kwenye Radio Tanzania tuu! Na vipinde vingine.. Majira, asubuhi njema, misakato, mchana mwema, club rahaleo show, jioni njema, kahawa ni mali, tuimbe sote nk.......
Muna wakumbuka watangazaji hawa?

  1. Ahmed Jongo
  2. Salum Mkumba
  3. Omar jongo
  4. Christine Chokonogela
  5. Tumbo Tamimu Risasa
  6. Salum Mbonde
  7. Juma Ngondae
  8. David Wakati
  9. Julius Nyaisanga
  10. Abdalla Mlawa
......Endelea........

Usahihi:
4.Christine Chokunegela
5. Tumbo Risasi
6. Salim Mbonde

11. Ahmed Kipozi
12. Sango (Tuwa) Kipozi
13. Sekion Kitojo
14. Betty (Chalamila) Mkwasa
15. Dominic Chilambo
 
16. Peter Makorongo
17. Mohamed Dahman
 
Kuna mmoja alikuwa anaripoti kutoka dodoma anae mkumbuka jina please.
 
Nafikiri bado yupo anaripoti kutoka Kigoma anajulikana kama Mzee Mambo hayo.
Na huyu jamaa yuko wapi? Alikuwa anaripoti pia toka mstari wa mbele wakati wa vita ya TZ na UG.
 
Wangine ni Sara Dumba, Mswima Ernest, Abisai Stephen, Debora Mwenda, Lone Lunisho, Ananelea Mkya.
Wale wanaojua spelling halisi wasahahishe tafadhari.
 
Mmenikumbusha Titus Philipo kutoka Tabora. Jamaa alikuwa anajua kulalamika kweli!
 
Wangine ni Sara Dumba, Mswima Ernest, Abisai Stephen, Debora Mwenda, Lone Lunisho, Ananelea Mkya.
Wale wanaojua spelling halisi wasahahishe tafadhari.

-Nswima Ernest
-Ananilea Nkya

Mwingine ni Godfrey Mgodo
 
18. Salama Mfamao- 'Wasemavyo Waimbaji'
19. Siwatu Luanda- 'Wakati wa Kazi'
20. Aloysia Maneno -'Chei Chei Shangazi'
21. Elisia Isabula -'Watoto Wetu'
22. Michael Katembo- 'Ngoma Zetu'
23. Bati Kobwa - 'Majira Arusha'
24. Ben Kiko -'Majira Dodoma'
25. Henrick Kilibuda- Mkoa kwa Mkoa
26. Nelly Kidela- External Service
27. Edda Sanga -External Service
28. Jacob Tesha-Habari
29. Abdala Ngarawa -Habari
30. Nasoro Msekeli- 'Ana kwa Ana'
31. Mohamed Ng'ombo- 'Mashairi'
32. Athumani Khalfan -'Mghanii Wetu'
33. Steven Lymo 'Muziki na BP'
34. Nadhir Mayoka -'Mbunu za Kiswahili'
35. Abysai Stephen- Idhaa ya Biashara
 
18. Salama Mfamao- 'Wasemavyo Waimbaji'
19. Siwatu Luanda- 'Wakati wa Kazi'
20. Aloysia Maneno -'Chei Chei Shangazi'
21. Elisia Isabula -'Watoto Wetu'
22. Michael Katembo- 'Ngoma Zetu'
23. Bati Kobwa - 'Majira Arusha'
24. Ben Kiko -'Majira Dodoma'
25. Henrick Kilibuda- Mkoa kwa Mkoa
26. Nelly Kidela- External Service
27. Edda Sanga -External Service
28. Jacob Tesha-Habari
29. Abdala Ngarawa -Habari
30. Nasoro Msekeli- 'Ana kwa Ana'
31. Mohamed Ng'ombo- 'Mashairi'
32. Athumani Khalfan -'Mghanii Wetu'
33. Steven Lymo 'Muziki na BP'
34. Nadhir Mayoka -'Mbunu za Kiswahili'
35. Abysai Stephen- Idhaa ya Biashara

Hahahahaahahah...............kaka umeua kabisaaaaaaaaaaaaaaaa!
Hivi wepi wako hai na wepi wametangulia?
 
18. Salama Mfamao- 'Wasemavyo Waimbaji'- alishafariki siku nyingi -1994
19. Siwatu Luanda- 'Wakati wa Kazi'
20. Aloysia Maneno -'Chei Chei Shangazi'
21. Elisia Isabula -'Watoto Wetu'
22. Michael Katembo- 'Ngoma Zetu'-ALISHAFARIKI
23. Bati Kombo - 'Majira Arusha'- alishafariki
24. Ben Kiko -'Majira Dodoma'
25. Henrick Kilibuda- Mkoa kwa Mkoa
26. Nelly Kidela- External Service
27. Edda Sanga -External Service
28. Jacob Tesha-Habari
29. Abdala Ngarawa -Habari
30. Nasoro Msekeli- 'Ana kwa Ana'
31. Mohamed Ng'ombo- 'Mashairi'
32. Athumani Khalfan -'Mghanii Wetu'
33. Steven Lymo 'Muziki na BP'
34. Nadhir Mayoka -'Mbunu za Kiswahili'
35. Abysai Stephen- Idhaa ya Biashara
36. Halima Kihemba
 
18. Salama Mfamao- 'Wasemavyo Waimbaji'
19. Siwatu Luanda- 'Wakati wa Kazi'
20. Aloysia Maneno -'Chei Chei Shangazi'
21. Elisia Isabula -'Watoto Wetu'
22. Michael Katembo- 'Ngoma Zetu'
23. Bati Kobwa - 'Majira Arusha'
24. Ben Kiko -'Majira Dodoma'
25. Henrick Kilibuda- Mkoa kwa Mkoa
26. Nelly Kidela- External Service
27. Edda Sanga -External Service
28. Jacob Tesha-Habari
29. Abdala Ngarawa -Habari
30. Nasoro Msekeli- 'Ana kwa Ana'
31. Mohamed Ng'ombo- 'Mashairi'
32. Athumani Khalfan -'Mghanii Wetu'
33. Steven Lymo 'Muziki na BP'
34. Nadhir Mayoka -'Mbunu za Kiswahili'
35. Abysai Stephen- Idhaa ya Biashara


aaaaaaaaaah hapa umemaliza mkuu.. them dayz bana sio siku hizi...
 
Msisahau Charles Hillary na Ahmed Jongo, wazee wa mpira hao piga ua lazima wakutangazie mpira tena kwa umahiri wa hali ya juu. Nakumbuka Pamba walipoisambaratisha ile timu ...kama sikosei kutoka Shelisheli magoli 12, mnakumbuka. Pamba ya Mwanza wana TP Lindanda. Basi tena enzi zile hazirudi ngoooooooooooooooo! na ufisadi huu cjuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Hivi yule mtangazaji wa kipindi cha Mikingamo (Sauti ya Umma) alikuwa ni nani alikuwa ananikosha kweli jinsi alivyokuwa anaficha majina ya watuhumiwa wakti akiendesha kipindi
 
Ahmed Jongo, Hendrick Michael Libuda na Abdala Mlawa najua wametangulia mbele za Haki. I stan to be corrected
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom