Tuwaenzi walimu wa somo la Mwandiko

Tuwaenzi walimu wa somo la Mwandiko

Mwalimu Janeth Magufuli na Mwalimu Salma Kikwete na Mwantumu Mahiza wa Mbuyuni primary School
 
mwl Manoko, Nyarigamba P/S 93, mwl Kaimkirwa Mwisenge P/S 94
 
Mwl Zungiza,Mugabe pr. Schl,Sinza Dar.kwa kweli namshukuru sana.Mapumziko darasa linafungwa,hutoki bila kununua vibagia na ubuyu wa urojo,kama huna hela unalazishwa kukopa.Tehe tehe.

My dear tumesoma wote, Zungiza, unakumbuka iii ndio a, a a a inamkia nyuma a a a
 
Mwalimu Josephat Gatahya. Ruzinga Shule ya msingi. Misenyi Kagera
 
Back
Top Bottom