bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,406
- 3,105
Tunaopenda kutafuna kujua hivi vitu muhimuHell
Leo tutengeneze ubuyu mzuri wa zanzibar ukiwa nyumbani kwako
Hatua ya kwanza utaanda shila ambayo ina husisha maji na sukari maji yawe kidogo sukari iwe nyingi
View attachment 3406619
Kisha shila ikishakuwa nzito sana una weka food color mimi nime tumia nyekundu
View attachment 3406621
Baada ya hapo uta mimina shila kwenye ubuyu wako pembeni kisha utaweka barking powerd na pilipili kama utapendelea pilipili
View attachment 3406622
Kisha uta changanya pole pole mchanganyiko ili uwe vizuri
View attachment 3406623
Na unaona ubuyu wangu una onekana kama ivyo hii una fanya ukiwa nyumbani kupunguza stress na kuifanya nyumba yako isi kosekane kitu cha kutafuna yaan kuchanga msha mdomo
Pia una weza fanya biashara pia kupitia hii tu tupo hapa kujifunza na kuongeza mahalifa ambayo wengine hawana wengine wana yapata kwa kulipia mimi natoa bureeee injoy
Tutafanya kolabo one day 🤣🤣
Thread iwe nzito humu Jf
Nuzulati atakuwa kitengo cha kachumbari 😂
Evelyn Salt atabeba salt arushie rushie