shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,208
- 10,606
🥰🥰🥰🥰
🥰🥰🥰🥰
Kwa haya mapishi hauoi hata ushikiwe bundukiNakalibia kumuoa shibela
Kazi yao wao ni kula tu 😂Dear hubby,,Tutatoa Kadi 10 za Wana JF for free🤗🤗🤗
Job job kipenzi,kina Uswege lazima waandaliwe mazingira!!Kazi yao wao ni kula tu 😂
Nimekumic sana leo sijakuona kabisa mchuchu wangu
Imeenda vizuri sana haikupita dakika bila kukuwazaJob job kipenzi,kina Uswege lazima waandaliwe mazingira!!
Siku yako imeendaje Leo kipenzi?
Mtaachana tuImeenda vizuri sana haikupita dakika bila kukuwaza
💓💓💓💓The same to me,punguza dozi kidogo utafanya niwe kibonge kwa haya mahaba ushindwe kunibeba laazizi wangu🤗🤗🤗🤗Imeenda vizuri sana haikupita dakika bila kukuwaza
🤣🤣🤣🤣🤣Mtaachana tu
Wivu mbaya 😂😂Mtaachana tu
nimetania tuWivu mbaya 😂😂
Ukikonda watasema nakunyanya acha nikupe kile kitu roho inapenda si una jua mchuchu wangu umejaa wewe kwenye moyo💓💓💓💓The same to me,punguza dozi kidogo utafanya niwe kibonge kwa haya mahaba ushindwe kunibeba laazizi wangu🤗🤗🤗🤗
Msijal utani tu🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu hatuachani ng'o!!!
😂😂 naelewa bossnimetania tu
My dear Sio kwa Raha hizi,I love u soooo much Pokea kumbato la upendo Mwachi wangu nakupendaaa💕💕💕💕💕Ukikonda watasema nakunyanya acha nikupe kile kitu roho inapenda si una jua mchuchu wangu umejaa wewe kwenye moyo
Kamua juice ya nanasi then weka kwenye birika , kwenye mdomo wa birika funga ka bomba kenye mdomo wa kutoa tone tu , tumbukiza kwenye chombo ulichokifunga vizuri kisitoe hewa , then weka birika kwenye mkaa wa moto .min -me na wewe tuelekeze jinsi ya kutengeneza konyagi nyumbani ili tusikose kinywaji.
Ulishawahi kuona jinsi wamama wa vijijini wanavyotengeneza gongo no.1??Kamua juice ya nanasi then weka kwenye birika , kwenye mdomo wa birika funga ka bomba kenye mdomo wa kutoa tone tu , tumbukiza kwenye chombo ulichokifunga vizuri kisitoe hewa , then weka birika kwenye mkaa wa moto .
Juice yetu itachemka na kupandisha mvuke kwenye ka bomba , na kudondosha matone kwenye chombo ulicho kizuia hewa isipite , subiri mpka upate matone ya kutosha , then weka sukari , itaendelea........
Utashangaa kesho Mwachiluwi anakuwa Moonshiner 🤣🤣🤣Kamua juice ya nanasi then weka kwenye birika , kwenye mdomo wa birika funga ka bomba kenye mdomo wa kutoa tone tu , tumbukiza kwenye chombo ulichokifunga vizuri kisitoe hewa , then weka birika kwenye mkaa wa moto .
Juice yetu itachemka na kupandisha mvuke kwenye ka bomba , na kudondosha matone kwenye chombo ulicho kizuia hewa isipite , subiri mpka upate matone ya kutosha , then weka sukari , itaendelea........