Hi guys hope mko poa,. Kwa ambao mko na changamoto mbalimbali Mungu awafanyie wepesi mkae sawa,..
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada,. Leo tutengeneze biscuits nzuri na tamu Sana,. Ingredients nilizotumia ni Corn flour, maziwa ya unga, condensed milk, butter pamoja na cocoa...