Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,274
Yes tozo zinaua uchumi, kila tozo zinapokatwa ninapunguza mzunguko wa pesa mtaani.Sio kweli.. Tozo zinaua uchumi…
Usiwadanganye watu
Tozo ni wizi period
Kodi tunalipa why tulipe mara kumi?
Hizo zinarudi hazina kwa njia ya tozo zinaliwa na watu wachache na wengine kuzipeleka nje kwa mabenk au kuzurura kama wanavyozurura

