Tutazikumbuka tozo, ni suala la muda

Tutazikumbuka tozo, ni suala la muda

Ni serikali yetu tu! Ndio haina njia mbadala za kikusanya mapato kwa ajili ya uendeshaji wa nchi, njia wanazojua wao ni kumtoza tozo raia wa hali ya chini anaetafuta pesa yake kwa machozi jasho na damu
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umettumwa.
Kamwambie aliyekutuma, tozo Ni double taxation na zinaua uchumi.
Zinawafanya wakinga na wapare pamoja na wewe mgogo kutoweka pesa benki.
Pesa zikikaa majumbani mwambie aliyekutuma sio vizuri kwa uchumi. Jambo hili wenye PhD feki za uchumi sio rahisi kulielewa.
Time will tell
 
Wewe umettumwa.
Kamwambie aliyekutuma, tozo Ni double taxation na zinaua uchumi.
Zinawafanya wakinga na wapare pamoja na wewe mgogo kutoweka pesa benki.
Pesa zikikaa majumbani mwambie aliyekutuma sio vizuri kwa uchumi. Jambo hili wenye PhD feki za uchumi sio rahisi kulielewa.
Time will tell
Wanahamisha tu mfumo, ila double taxation haitakwepeka. Utailipa tu.

Na akili zako unaamini wana ondoa tozo tu halafu inaishia hapo????

Jiandae kisaikolojia, lazima uletewe moto mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka wewe ni shamba boy wa nchemba
 
Wanahamisha tu mfumo, ila double taxation haitakwepeka. Utailipa tu.

Na akili zako unaamini wana ondoa tozo tu halafu inaishia hapo????

Jiandae kisaikolojia, lazima uletewe moto mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu.
Itatuumiza sote. Sisi wa chadema pamoja na nyie chawa, kwani ATM haijui Kama mtoa pesa Ni chawa au smart boy.
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuambie ilikuwa na faida gani? Tozo ina tofauti gani na Kodi?

Shauri nchi iwekeze kwenye Kilimo, Uvuvi, na viwanda ili kukuza GDP na sio kumkamua masikini.
 
Kwa hiyo hizo tozo za benki ndio tutazikumbuka? Mleta mada kuwa serious kidogo!
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hakuna tofauti kabla na baada ya tozo?
 
Bila shaka wewe ni shamba boy wa nchemba
Whatever you name It, tozo si lipi Congo. Ni nchi yangu nitalipa bila kinyongo.

Najua fedha nayo katwa inapeleka maji vijijini, inapunguza umbali wa watanzania wenzangu wanaotembea mwendo mrefu kufuata elimu, najua tozo nayokatwa ina mtua mmama / mwanamke wa kitanzania ndoo kichwani.

Kila napopita kwenye barabara mpya ya lami huwa najua ni sehemu ya Kodi/ tozo niliyochangia


Mwisho najua tozo nayokatwa inatengeneza ajira kwa vijana wa kitanzania wanaomaliza vyuo kupitia ujenzi wa shule mpya, ujenzi wa vituo vya vipya afya.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
As long as Mwigulu (the worst finance minister since independence) Yuko pale treasury, this economy will keep nose diving.
 
Whatever you name It, tozo si lipi Congo. Ni nchi yangu nitalipa bila kinyongo.

Najua fedha nayo katwa inapeleka maji vijijini, inapunguza umbali wa watanzania wenzangu wanaotembea mwendo mrefu kufuata elimu, najua tozo nayokatwa ina mtua mmama / mwanamke wa kitanzania ndoo kichwani.

Kila napopita kwenye barabara mpya ya lami huwa najua ni sehemu ya Kodi/ tozo niliyochangia


Mwisho najua tozo nayokatwa inatengeneza ajira kwa vijana wa kitanzania wanaomaliza vyuo kupitia ujenzi wa shule mpya, ujenzi wa vituo vya vipya afya.



Sent using Jamii Forums mobile app
Basi unajikuta mzalendo...

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
serikali sio kichaa, hautaona unafuu wowote, hio punguzo ya tozo mtaifidia sehemu nyingine. Siku zote fedha huwa haitoshi, serikali inahitaji fedha mtapunguziwa tozo au kuondolewa lakini itawekwa sehemu nyingine na mtailipa vizuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona clip ya mzungu? itafute uiangalie labda haujaelewa vizuri. Tozo ndiyo inawapa viburi, mnaongea utafikiri nyie ndiyo nma haki miliki ya hii nchi. Hiyo hela ya kwenda Kenya na Uingereza ingeweza kutengeneza madawati ya wanafunzi.
Unajua vipato vya wananchi wako?
 
Whatever you name It, tozo si lipi Congo. Ni nchi yangu nitalipa bila kinyongo.

Najua fedha nayo katwa inapeleka maji vijijini, inapunguza umbali wa watanzania wenzangu wanaotembea mwendo mrefu kufuata elimu, najua tozo nayokatwa ina mtua mmama / mwanamke wa kitanzania ndoo kichwani.

Kila napopita kwenye barabara mpya ya lami huwa najua ni sehemu ya Kodi/ tozo niliyochangia


Mwisho najua tozo nayokatwa inatengeneza ajira kwa vijana wa kitanzania wanaomaliza vyuo kupitia ujenzi wa shule mpya, ujenzi wa vituo vya vipya afya.



Sent using Jamii Forums mobile app
Tozo kwa manunuzi ya V8 za kisasa nchini
 
Ungesema waheshimu matumizi ya tozo tokea mwanzo ungeeleweka lakini kuponda tozo kama haina mchango sikukuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali hiyo hiyo ambayo haiheshimu matumizi mazuri ya tozo inataka ipokee tozo kubwa ili wanunue VX. Hakuna haja ya kulipa tozo, zifutwe kabisa. Kama unapata fedha unafanyia starehe, kuna haja gani ya kupewa pesa?
Jana alikuwa Kenya, leo yupo Uingereza. Tozo zinawapa viburi sana?
 
Mtu anajua mazingira halisi na vipato vya wananchi wake, anaweka tozo kubwa kuwakomoa halafu huyo huyo anajidai kuifuta. Haya ni maigizo ya bongo movie
Sasa hivi hakuna huduma ambayo unaweza kuifurahia. Pesa hakuna, bidhaa ghari.
wanafuta au wanabadilisha mikakati, suala la kulipa lipo ila inabadilishwa sura tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kipindi hazipo tulizidai hizi tozo?
Wenzangu mmeona mabadiliko chanya yaliyotokea baada ya tozo?
Mnajua Serikali imekusanya kiasi Gani Cha pesa Hadi Sasa zitokanazo na tozo?
SERIKALI ilikuwa inajiendesha vipi kabla ya tozo?
Ni kweli hakuna njia mbadala ya kukusanya tozo?
NB: MTOA MADA USIPOTOSHE UMMA
 
Back
Top Bottom