Tutazikumbuka tozo, ni suala la muda

Tutazikumbuka tozo, ni suala la muda

Hivi kipindi hazipo tulizidai hizi tozo?
Wenzangu mmeona mabadiliko chanya yaliyotokea baada ya tozo?
Mnajua Serikali imekusanya kiasi Gani Cha pesa Hadi Sasa zitokanazo na tozo?
SERIKALI ilikuwa inajiendesha vipi kabla ya tozo?
Ni kweli hakuna njia mbadala ya kukusanya tozo?
NB: MTOA MADA USIPOTOSHE UMMA
Kama tozo zimeliwa huyo aliyezila atakuwa tajiri sana.
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Tozo ielekezwe kwenye migodi fedha ipo nyingi sana huko sema maslahi ya watu au kutojipanga law sekta ya madini inafanya walalahoi wakamulie
Fuatilia clip ya Kitwanga kuhusu kodi utaelewa
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app

Peleka upumbavu wako kijijini kwenu.
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka ma V- eiteee yaliyojaa CCM na serikali yake mafuta tu kwa siku ni zaidi ya Bil 30 ..

Tuachee
 
Kumbuka ma V- eiteee yaliyojaa CCM na serikali yake mafuta tu kwa siku ni zaidi ya Bil 30 ..

Tuachee
Yaani haimjaielewa serikali tu mpaka leo???? Wanaondoa tozo lakini huo mzigo mtaulipia kwa namna nyingine na kwa sura nyingine. Ndio maana nasisitiza mtaikumbuka tozo.
 
Unataka kutuamisha kwamba njia pekee ya kuijenga Tanzania yetu ni kupitia tozo ?
Yaani kuchukua hela ya zaida isiyo yako kwa wananchi?
 
Mleta Mada: "Tutazikumbuka Tozo".


Mimi: Whaat?!!
westbrookwtf.png
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi bwana mapanki ila watu wa Mjini hawawezi kuzikumbuka maana wao siku zote huwa wanatumia jasho na rasilimali za Vijijini kujenga Miji yao na kujinufaisha..

Kimsingi Tozo zimefanya mambo makubwa na zilikuwa game changer Sana kwenye maendeleo ya Vijijini hususani huduma za afya,elimu,Maji na Barabara..

Pia tozo zimelipia watoto mikopo ya Elimu ya Juu nk ila kwa nimewalaumu Sana wabunge wa Maeneo ya Vijijini wameshindwa kutetea jambo linalowanufaisha watu wa maendeo ya kwao..

Hii Nchi ina shida ya watu kutolipa Kodi na njia mojawapo ya kupata pesa kule walikokwepa ilikuwa ni tozo lakini jambo likaonekana ni la Mwigulu as if Mwigulu ndio anaishi Vijijini au watoto wake wanasoma shule za kata..

Mwisho ni kwamba huyu Rais anawadekeza Sana Hawa watu ndio maana wanapinga initiative ya Maendeleo,unajiuliza nani awaletee Maendeleo?

Vipesa vyenyewe vya Makati hakuna cha maana watu watafanya maana ni vihela vidogo kwa individual level tofauti na Serikali ikizikusanya zinakuwa nyingi na zinaleta maana..

Kiujumla Serikali imeniudhi Sana kwamba sie wa Vijijini hatuna maana,futeni basi na tozo ya mafuta ya Tarura Ili turudi kule kule kwa mwanzo tuone..
 
Uko sahihi bwana mapanki ila watu wa Mjini hawawezi kuzikumbuka maana wao siku zote huwa wanatumia jasho na rasilimali za Vijijini kujenga Miji yao na kujinufaisha..

Kimsingi Tozo zimefanya mambo makubwa na zilikuwa game changer Sana kwenye maendeleo ya Vijijini hususani huduma za afya,elimu,Maji na Barabara..

Pia tozo zimelipia watoto mikopo ya Elimu ya Juu nk ila kwa nimewalaumu Sana wabunge wa Maeneo ya Vijijini wameshindwa kutetea jambo linalowanufaisha watu wa maendeo ya kwao..

Hii Nchi ina shida ya watu kutolipa Kodi na njia mojawapo ya kupata pesa kule walikokwepa ilikuwa ni tozo lakini jambo likaonekana ni la Mwigulu as if Mwigulu ndio anaishi Vijijini au watoto wake wanasoma shule za kata..

Mwisho ni kwamba huyu Rais anawadekeza Sana Hawa watu ndio maana wanapinga initiative ya Maendeleo,unajiuliza nani awaletee Maendeleo?

Vipesa vyenyewe vya Makati hakuna cha maana watu watafanya maana ni vihela vidogo kwa individual level tofauti na Serikali ikizikusanya zinakuwa nyingi na zinaleta maana..

Kiujumla Serikali imeniudhi Sana kwamba sie wa Vijijini hatuna maana,futeni basi na tozo ya mafuta ya Tarura Ili turudi kule kule kwa mwanzo tuone..
Wasiolipa kodi ndio hao hao akikuta barabara mbovu, analalamika utadhani anachinjwa.
 
Tangu tuanze kuchangia kuna kipi kipya kilichoonekana zaidi ya mawaziri kununua V8 brand new!!!!!!!!!!!!!!????
 
Tangu tuanze kuchangia kuna kipi kipya kilichoonekana zaidi ya mawaziri kununua V8 brand new!!!!!!!!!!!!!!????
Katika vyote umeona V8, V8 zipo kipindi cha tozo tu???
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliekudanganya nano kuwa tozo zimefutwa?
 
Tozo zimefanya kitu gani cha maana???
Dhumuni la tozo lilikuwa ni kupunguza mzigo uliokuwa umebebwa na wachache kulihudumia taifa ambao kimsingi hawafiki hata 3m, naposema wachache namaanisha wale wote wenye TIN number waliokuwa wana namba za mlipa kodi iliyokuwa inatumika kuhudumia watu 60m.

Kumbuka katika hao wenye namba ya mllipa kodi wengine malipo yao wanafanya kwenye kurenew leseni tu za udereva.

Asilimia kubwa ya wanaohitaji huduma za msingi sio walipa kodi yaani kiufupi ni watumiaji bila kuchangia, tozo ililetwa kuongeza wigo wa wachangia maendeleo.

Kuhusu faida za tozo ambao tumefanikiwa kutembelea maeneo ya vijijini tuna mengi ya kusema, shule, vituo vya afya, maji ni vitu ambavyo tumevishuhudia kwa kipindi kifupi sana. Naimani tozo ingeendelea tungeumia kwa muda ila matokeo yake yange kuwa makubwa makubwa zaidi.

Cha muhimu tungeweka nguvu kuionya serikali kuhusu matumizi ya anasa ya fedha zetu kuliko kuipinga tozo. Kuchangia tozo kwangu nilikuwa naona ni fursa ya wananchi kushirikishwa kwa wingi kwenye ku finance miradi yao.

Nacho fahamu kuna badhi ya tozo hazitatoka hata kwa bunduki, Tarura fedha yao ipo kwenye mafuta.
 
Back
Top Bottom