Tutazikumbuka tozo, ni suala la muda

Mapank

JF-Expert Member
Mar 8, 2011
4,074
5,913
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko ulaya mlikopandishwa daladala wao wana tozo? mmeenda likizo ya kufikiri
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli.. Tozo zinaua uchumi…
Usiwadanganye watu
Tozo ni wizi period
Kodi tunalipa why tulipe mara kumi?
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app

Toka Apa..
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni kubwa ya voda imetangaza kupungua mapato yake wewe hili haujaliona
 
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.

Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.

Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.

Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.

Ni suala la muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
Tozo zinatakiwa ziendane na hali halisi ya vipato vya watanzania. Nalipa tozo halafu hakuna unafuu wowote wa maisha, hizo tozo zinafanya kazi gani?
Kwani zamani tulikuwa tunaishije? Sasa hivi nchi inajengwa kwa tozo? Bidhaa zipo juu, kila siku vifurushi vinabadilishwa. leo 1GB inauzwa kwa 3,000. Unapata raha gani ya kuwa Mtanzania?
Tulipe tozo muende mkale bata uingereza.
 
Tozo zinatakiwa ziendane na hali halisi ya vipato vya watanzania. Nalipa tozo halafu hakuna unafuu wowote wa maisha, hizo tozo zinafanya kazi gani?
Kwani zamani tulikuwa tunaishije? Sasa hivi nchi inajengwa kwa tozo? Bidhaa zipo juu, kila siku vifurushi vinabadilishwa. leo 1GB inauzwa kwa 3,000. Unapata raha gani ya kuwa Mtanzania?
Tulipe tozo muende mkale bata uingereza.
serikali sio kichaa, hautaona unafuu wowote, hio punguzo ya tozo mtaifidia sehemu nyingine. Siku zote fedha huwa haitoshi, serikali inahitaji fedha mtapunguziwa tozo au kuondolewa lakini itawekwa sehemu nyingine na mtailipa vizuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alokwambia wameondoa tozo nani?
Katafute taarifa huko,
Screenshot_20220920-201955.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom