Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,074
- 5,913
Sio kweli kwamba tozo hazikuwa na faida kwa maendeleo ya Mwananchi wa chini.
Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.
Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.
Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.
Ni suala la muda tu.........
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sio kweli nchi yetu inajitosheleza kimapato kiasi cha kuona tozo haina msaada wowote kwenye maendeleo.
Navyofahamu tozo ilikuwa inatoa nafasi kwa watanzania wengi kuchangia maendeleo yao.
Sasa wameondoa tozo, naamini mzigo tuliokuwa tunauona kwenye tozo kuna sehemu tutaenda kuulipa kwa gharama.
Ni suala la muda tu.........
Sent using Jamii Forums mobile app