Tutangaze mgogoro wa kisiasa na Edward Ngoyai Lowassa

Najijua

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
1,039
180
WADAU NALETA HOJA YA KUOMBA TUTANGAZE MGOGOR WA KISIASA NA EDWARD NGOYAI LOWASSA (MB) NA MNEC WA CCM.
HUYU NI MWANASIASA MWENYE NJOZI KUBWA YA KUWA RAISI WA JMT NA KUNA MADAI KUWA T.B JOSHUA WA NIGERIA AMESHAMTABITRIA HILO.

KWANINI MGOGORO WA KISIASA

1. KILA ANAPO PATA FURSA YA KUZUNGUMZA HUWA ANASEMA UKOSEFU WA AJIRA NI BOMU LINALOSUBIRI KILUPUKA NAOMBA ATUELEZE ALIVYOKUWA SERIKALINI ALIFANYA MKAKATI GANI KUKABALIANA NA UKOSEFU WA AJIRA?

2. YEYE NI M/KITI KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE NA ULINZI, JE AMEFANIKISHAJE KUWATAFUTIA VIJANA AJIRA NDANI NA NJE KWA KUTUMIA NAFASI YAKE HIYO BUNGENI?AMEWASILISHA MKAKATI GANI KUTATUA TATIZO KAMA BADO HAJA FANIKISHA?

3. KULE MONDULI AMBAKO YEYE NI MBUNGE AMEWAFANYIA NINI VIJANA KUKABILIANA NA AJIRA AU ANATUJAZA CHUKI?

4. YEYE NI MNEC AMESHAURI NINI CHAMA CHAKE KINACHOUNDA SERIKALI NA KUTEKELEZA ILANI YAKE KUKABILIANA NA UKOSEFU WA AJIRA?

*****LOWASSA NI MOJA YA CHIMBUKO KUU LA MATATIZO TULIYONAYO HUMU NCHINI, KILA UMEME UKIKATIKA LAZIMA TUMLAANI?hajui bei za vyakula, usafiri na mahitaji mengine yakipanda kwa ughali wa uzalishaji unaosababishwa na umeme tunamlaani yeye?

Kwanini anatumia advantage ya ukosefu wa ajira kwa vijana kama silaha kubwa kila anapozungumza?hajui kuwa vijana tuna chuki nae kubwa kwa ushiriki wake wa kuajiri kwa kujuana na kupendeleana ambapo katika mfumo huu anamkono mkubwa?

Kwanini anataka kutufanya vijana ni mtaji wake wa kisiasa?Mr White hair tumekushutukia na tunatangaza mgogoro wa kisiasa na wewe

Lowassa ur disaster to us acha kutughilibu mzee wangu, au tuingie barabarani kutaka mchukuliwe hatu kwa kuwa serikali ya mshikaji wako inakulinda?

Lowassa fuata ushauri wa Mzee Msekwa acha mbio za uraisi, acha kuvuruga utawala mbona ulipokuwepo hakuna jipya la maaana?
 
Hii ndo Tanzania yetu. Eti kuna watu wanaamini bila wao hakuna Tanzania ndo maana unaona wanapigana kufa na kupona waje kutuongoza ili kutimiza ndoto zao.
 
Na likinuka hapa tz ndani ya hizi siku mia alizopewa J.K mie naapa kudeal na J.K na E.L ..nitahakikisha nawatia vijiti m.....ni
 
WADAU NALETA HOJA YA KUOMBA TUTANGAZE MGOGOR WA KISIASA NA EDWARD NGOYAI LOWASSA (MB) NA MNEC WA CCM.
HUYU NI MWANASIASA MWENYE NJOZI KUBWA YA KUWA RAISI WA JMT NA KUNA MADAI KUWA T.B JOSHUA WA NIGERIA AMESHAMTABITRIA HILO.

KWANINI MGOGORO WA KISIASA

1. KILA ANAPO PATA FURSA YA KUZUNGUMZA HUWA ANASEMA UKOSEFU WA AJIRA NI BOMU LINALOSUBIRI KILUPUKA NAOMBA ATUELEZE ALIVYOKUWA SERIKALINI ALIFANYA MKAKATI GANI KUKABALIANA NA UKOSEFU WA AJIRA?

2. YEYE NI M/KITI KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE NA ULINZI, JE AMEFANIKISHAJE KUWATAFUTIA VIJANA AJIRA NDANI NA NJE KWA KUTUMIA NAFASI YAKE HIYO BUNGENI?AMEWASILISHA MKAKATI GANI KUTATUA TATIZO KAMA BADO HAJA FANIKISHA?

3. KULE MONDULI AMBAKO YEYE NI MBUNGE AMEWAFANYIA NINI VIJANA KUKABILIANA NA AJIRA AU ANATUJAZA CHUKI?

4. YEYE NI MNEC AMESHAURI NINI CHAMA CHAKE KINACHOUNDA SERIKALI NA KUTEKELEZA ILANI YAKE KUKABILIANA NA UKOSEFU WA AJIRA?

*****LOWASSA NI MOJA YA CHIMBUKO KUU LA MATATIZO TULIYONAYO HUMU NCHINI, KILA UMEME UKIKATIKA LAZIMA TUMLAANI?hajui bei za vyakula, usafiri na mahitaji mengine yakipanda kwa ughali wa uzalishaji unaosababishwa na umeme tunamlaani yeye?

Kwanini anatumia advantage ya ukosefu wa ajira kwa vijana kama silaha kubwa kila anapozungumza?hajui kuwa vijana tuna chuki nae kubwa kwa ushiriki wake wa kuajiri kwa kujuana na kupendeleana ambapo katika mfumo huu anamkono mkubwa?

Kwanini anataka kutufanya vijana ni mtaji wake wa kisiasa?Mr White hair tumekushutukia na tunatangaza mgogoro wa kisiasa na wewe

Lowassa ur disaster to us acha kutughilibu mzee wangu, au tuingie barabarani kutaka mchukuliwe hatu kwa kuwa serikali ya mshikaji wako inakulinda?

Lowassa fuata ushauri wa Mzee Msekwa acha mbio za uraisi, acha kuvuruga utawala mbona ulipokuwepo hakuna jipya la maaana?
Huyu EL asifanye watu hatuna akili yeye ndio chanzo umasikini tulio nao, katukwamisha na umeme wa RICHIMOND hadi sasa serikali ya mshikaji wake inataka kulipa malipo ya kifisadi!!!!!!!!!Asidhani watu ni wajinga hatujui ufisadi wake, mtoto wake alikamatwa London na mahela kibao akinunua mahotel tena si moja kibao tuu Leicester, Trafagar square , kama si wizi anatueleza nini huyu????????Fedha za kulipa RICHIMOND Million 152 kila siku kwa muda wa miezi sita ziliingizwa mfuko gani????????? Nasikia ana Acct huko Uswizi zaidi ya USD$ 300 million amaezipata wapi?????????? Kuna wezi wanataka kuhalalisha wizi wao ktk uongozi wa CCM, mfukuzeni EL CCM kama kweli mnajivua maghamba, tena apelekwe magereza akajibu mashitaka ya wizi kwa fedha za umma na kufilisi nchi ya Tanzania PERIOD!!!!!!!!!!!
 
huyu el asifanye watu hatuna akili yeye ndio chanzo umasikini tulio nao, katukwamisha na umeme wa richimond hadi sasa serikali ya mshikaji wake inataka kulipa malipo ya kifisadi!!!!!!!!!asidhani watu ni wajinga hatujui ufisadi wake, mtoto wake alikamatwa london na mahela kibao akinunua mahotel tena si moja kibao tuu leicester, trafagar square , kama si wizi anatueleza nini huyu????????fedha za kulipa richimond million 152 kila siku kwa muda wa miezi sita ziliingizwa mfuko gani????????? Nasikia ana acct huko uswizi zaidi ya usd$ 300 million amaezipata wapi?????????? Kuna wezi wanataka kuhalalisha wizi wao ktk uongozi wa ccm, mfukuzeni el ccm kama kweli mnajivua maghamba, tena apelekwe magereza akajibu mashitaka ya wizi kwa fedha za umma na kufilisi nchi ya tanzania period!!!!!!!!!!!

hapo pekundu ndio penyewe, maana anatakiwa ajue ukosefu wa umeme kwa ajili ya maujanja yake ya rich mond ndio ulisababisha ukosefu mkubwa wa ajira hasa kwa vijana, labda aseme alisababisha makusudi ili aje atumie kama agenda ya kampeni. Kama ambavyo chama chake kimetengeneza ukata ili kiutumie kwenye kampeni.

Free ushauri: Na yeye aachane na hizo mbio za magogoni tu, amechafuka beyond repair, maana atakuja kuwa embarassed apate stroke bureeee! Sina bifu naye maana sina mpango wa kugombea hata uenyekiti wa kamati ya harusi ya yeyote.
 
LAzima umetumwa, huo mgogoro tangaza mwenyewe, unataka nani akusaidie, Muite mzee 6 akupige tafu kama hakukutuma yeye
 
LAzima umetumwa, huo mgogoro tangaza mwenyewe, unataka nani akusaidie, Muite mzee 6 akupige tafu kama hakukutuma yeye
Nyie ndio wapambe wa EL kujaribu kuzima mada hapa JF, pole sana tumeshamsitukia huyo fisadi wako, akulipe usepe!!!!!!!!
 
kama ni ajila angaanza kuwapa kwanza maasai kwani ni vurugu tupu pale sinza madukani, akiwa yeye kama mbunge ndugu zake wa kimasai amewasaidiaje kutokomeza umaskini? au umasikini wa kulala nje na kuchunga ng'ombe ndio ajira zenyewe au anaeendeleza kauli za ukale za kutunza mila, kama ni kutunza mila mila zinatunzwa mjini, yaani mila azitabiliki leo maasai kesho mtu kaupara. kama ni kuanza aanze na nduguze kuwapa mitaji sio maela yote anaelekeza kwenye makanisa huku kwao watu hawana visima alafu wanamuita chifu wao, inauma sana kuona bado wanaitwa walizi huku wasiaminiwe na mtu yeyete kwa kuwa sio waaminifu tena.
 
Hivi bado kuna watu wana uhakika rais ajaye atatoka ccm??! Kwa nini msiwaache waendelee kutoana kamasi kwenye chama lao?!
Mimi binafsi kila umeme unapokatika ninawalaani waliotuingiza kwenye mkataba wa IPTL. Huyu ndo mama wa ufisadi mkubwa wote kwenye sekta ya umeme, tunajua tunailipa iptl sh ngapi kwa siku. Kilichompa lowasa na aliyekuwa nyuma yake fursa ya kufisadi nchi kupitia richmond ni yule aliyeiingiza Tanesco ktk nira ya kukamuliwa na iptl kwa zaidi ya miaka 15 sasa. Ndiyo maana hata baada ya fisadi lowasa kudondoka yule kibaka mwingine hakuwa na udhubutu wa kuikomesha richmond/dowans kwa sababu ni yake.
 
Wakuu tutapiga sana hizi kelele lakini jamaa lazima aukwae u-presider ije mvua lije jua. Kwani sisi wadanganyika tuna akili?
 
Bruker acha mbofumbofu zako!! Lowassa alikuwa ni PM mwenye uwezo mkubwa wa kuendesha shughui za serikali. alikuwa jasiri na a mwenye uwezo wa kufikia malengo ya kazi alizojiwekea. Unataka kumlinganisha na huyu Pinda??? Tanzania inahitaji kasi ktk maendeleo na inamuhitaji sana kiongozi aina ya Lowassa. Lowassa alijenga shule za kata kwa kasi ya ajabu ndani ya kipindi cha miezi 15. alilenga kufika mbali na wakati wote aliamini penye pana njia!! Tazama mipango yake mizuri ya maendeleo imeachwa na hawa viongozi wachovu wakiongozwa na Pinda. Mhe. Lowassa alijali sana wananchi wakati wa u-PM wake, alijali haki za viongozi wa upinzani na wakati ilipobidi aliwashauri CCM wenzake kukubali matokeo kama alivyotatua mgogoro wa Umeya Kigoma ujiji kati ya Chadema na CCM kwa kumwagiza Pinda wakati akiwa Tamisemi kwenda kutekeleza kile aichoamua. Akiwa MNEC wa CCM alishauri CCM ising'ang'anie maslahi ya chama badala ya maslahi ya Amani na wana Arusha lakini kina Pinda na makamba wake wakampuuza!! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!!! lowassa ndiye miongoni mwa waziri wakuu waliofanikiwa TZ baada ya Hayati Mwl. Nyerere na na Hayati Soko4. Ukichukizwa sana rusha jiwe. habari ndo hiyo!!!!!!
 
Bruker acha mbofumbofu zako!! Lowassa alikuwa ni PM mwenye uwezo mkubwa wa kuendesha shughui za serikali. alikuwa jasiri na a mwenye uwezo wa kufikia malengo ya kazi alizojiwekea. Unataka kumlinganisha na huyu Pinda??? Tanzania inahitaji kasi ktk maendeleo na inamuhitaji sana kiongozi aina ya Lowassa. Lowassa alijenga shule za kata kwa kasi ya ajabu ndani ya kipindi cha miezi 15. alilenga kufika mbali na wakati wote aliamini penye pana njia!! Tazama mipango yake mizuri ya maendeleo imeachwa na hawa viongozi wachovu wakiongozwa na Pinda. Mhe. Lowassa alijali sana wananchi wakati wa u-PM wake, alijali haki za viongozi wa upinzani na wakati ilipobidi aliwashauri CCM wenzake kukubali matokeo kama alivyotatua mgogoro wa Umeya Kigoma ujiji kati ya Chadema na CCM kwa kumwagiza Pinda wakati akiwa Tamisemi kwenda kutekeleza kile aichoamua. Akiwa MNEC wa CCM alishauri CCM ising'ang'anie maslahi ya chama badala ya maslahi ya Amani na wana Arusha lakini kina Pinda na makamba wake wakampuuza!! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!!! lowassa ndiye miongoni mwa waziri wakuu waliofanikiwa TZ baada ya Hayati Mwl. Nyerere na na Hayati Soko4. Ukichukizwa sana rusha jiwe. habari ndo hiyo!!!!!!
Mkuu huyu njemba nenda kanywe nae chai tu sisi tulio wengi hatumtaki aisee,kweli ana mazuri lakini mabaya yake yamezidi halafu tujaribu kutafakari kidogo nguvu yote hii ya kwenda Ikulu 'anaenda kufanya nini' ?
 
Back
Top Bottom