Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
WADAU NALETA HOJA YA KUOMBA TUTANGAZE MGOGOR WA KISIASA NA EDWARD NGOYAI LOWASSA (MB) NA MNEC WA CCM.
HUYU NI MWANASIASA MWENYE NJOZI KUBWA YA KUWA RAISI WA JMT NA KUNA MADAI KUWA T.B JOSHUA WA NIGERIA AMESHAMTABITRIA HILO.
KWANINI MGOGORO WA KISIASA
1. KILA ANAPO PATA FURSA YA KUZUNGUMZA HUWA ANASEMA UKOSEFU WA AJIRA NI BOMU LINALOSUBIRI KILUPUKA NAOMBA ATUELEZE ALIVYOKUWA SERIKALINI ALIFANYA MKAKATI GANI KUKABALIANA NA UKOSEFU WA AJIRA?
2. YEYE NI M/KITI KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE NA ULINZI, JE AMEFANIKISHAJE KUWATAFUTIA VIJANA AJIRA NDANI NA NJE KWA KUTUMIA NAFASI YAKE HIYO BUNGENI?AMEWASILISHA MKAKATI GANI KUTATUA TATIZO KAMA BADO HAJA FANIKISHA?
3. KULE MONDULI AMBAKO YEYE NI MBUNGE AMEWAFANYIA NINI VIJANA KUKABILIANA NA AJIRA AU ANATUJAZA CHUKI?
4. YEYE NI MNEC AMESHAURI NINI CHAMA CHAKE KINACHOUNDA SERIKALI NA KUTEKELEZA ILANI YAKE KUKABILIANA NA UKOSEFU WA AJIRA?
*****LOWASSA NI MOJA YA CHIMBUKO KUU LA MATATIZO TULIYONAYO HUMU NCHINI, KILA UMEME UKIKATIKA LAZIMA TUMLAANI?hajui bei za vyakula, usafiri na mahitaji mengine yakipanda kwa ughali wa uzalishaji unaosababishwa na umeme tunamlaani yeye?
Kwanini anatumia advantage ya ukosefu wa ajira kwa vijana kama silaha kubwa kila anapozungumza?hajui kuwa vijana tuna chuki nae kubwa kwa ushiriki wake wa kuajiri kwa kujuana na kupendeleana ambapo katika mfumo huu anamkono mkubwa?
Kwanini anataka kutufanya vijana ni mtaji wake wa kisiasa?Mr White hair tumekushutukia na tunatangaza mgogoro wa kisiasa na wewe
Lowassa ur disaster to us acha kutughilibu mzee wangu, au tuingie barabarani kutaka mchukuliwe hatu kwa kuwa serikali ya mshikaji wako inakulinda?
Lowassa fuata ushauri wa Mzee Msekwa acha mbio za uraisi, acha kuvuruga utawala mbona ulipokuwepo hakuna jipya la maaana?
HUYU NI MWANASIASA MWENYE NJOZI KUBWA YA KUWA RAISI WA JMT NA KUNA MADAI KUWA T.B JOSHUA WA NIGERIA AMESHAMTABITRIA HILO.
KWANINI MGOGORO WA KISIASA
1. KILA ANAPO PATA FURSA YA KUZUNGUMZA HUWA ANASEMA UKOSEFU WA AJIRA NI BOMU LINALOSUBIRI KILUPUKA NAOMBA ATUELEZE ALIVYOKUWA SERIKALINI ALIFANYA MKAKATI GANI KUKABALIANA NA UKOSEFU WA AJIRA?
2. YEYE NI M/KITI KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE NA ULINZI, JE AMEFANIKISHAJE KUWATAFUTIA VIJANA AJIRA NDANI NA NJE KWA KUTUMIA NAFASI YAKE HIYO BUNGENI?AMEWASILISHA MKAKATI GANI KUTATUA TATIZO KAMA BADO HAJA FANIKISHA?
3. KULE MONDULI AMBAKO YEYE NI MBUNGE AMEWAFANYIA NINI VIJANA KUKABILIANA NA AJIRA AU ANATUJAZA CHUKI?
4. YEYE NI MNEC AMESHAURI NINI CHAMA CHAKE KINACHOUNDA SERIKALI NA KUTEKELEZA ILANI YAKE KUKABILIANA NA UKOSEFU WA AJIRA?
*****LOWASSA NI MOJA YA CHIMBUKO KUU LA MATATIZO TULIYONAYO HUMU NCHINI, KILA UMEME UKIKATIKA LAZIMA TUMLAANI?hajui bei za vyakula, usafiri na mahitaji mengine yakipanda kwa ughali wa uzalishaji unaosababishwa na umeme tunamlaani yeye?
Kwanini anatumia advantage ya ukosefu wa ajira kwa vijana kama silaha kubwa kila anapozungumza?hajui kuwa vijana tuna chuki nae kubwa kwa ushiriki wake wa kuajiri kwa kujuana na kupendeleana ambapo katika mfumo huu anamkono mkubwa?
Kwanini anataka kutufanya vijana ni mtaji wake wa kisiasa?Mr White hair tumekushutukia na tunatangaza mgogoro wa kisiasa na wewe
Lowassa ur disaster to us acha kutughilibu mzee wangu, au tuingie barabarani kutaka mchukuliwe hatu kwa kuwa serikali ya mshikaji wako inakulinda?
Lowassa fuata ushauri wa Mzee Msekwa acha mbio za uraisi, acha kuvuruga utawala mbona ulipokuwepo hakuna jipya la maaana?