zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Mwiba angalia yaliyotokea Tunisia yanaweze kutokea Tz. pia. Watanzania wa mwaka jana si wa mwaka huu. Tumechoshwa na huu upuuzi wa serikali ya jk haina mwelekeo inaendeshwa kiholelaholela. Rais wako nchi imemshinda aachie tu awape watu wengine. Nchi ipo gizani hakuna maji naye kakaa kimya tu kama hayupo. Wamekausha hazina na uchaguzi sasa anashindwa ajue aanzie wapi. Aibuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!
Paukwa?