Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
Duuuh aiseee anaitwa nani huyo MbungeKuna Mbunge wa Tabaora vijijini anaishi Sinza.Aisee anaharibu vijana hapa mjini.Anawachukua anakupa milion5 umfukue mtaro then ukimaliza anatoa bastola na yeye anakufukua.Wasanii na Wacheza mpira ndo wahanga.Mfano Kuna mchezaji mmoja wa Yanga kinara huyo nishamuona kabisa na watu hawamdhanii.