Lungutz1
Member
- Jun 23, 2023
- 33
- 67
Huwa unamchukuliaje mpenzi wako anapokuambia tutasex baada ya kufunga ndoa/kuoana? Hivi jambo hilo lina faida yoyote?
Jamaa yangu ananilalamika kila siku anadai mpenzi wake anakataa kutoa mali kisa anaogopa watachokana mapema lakini pia kiimani ni kosa/dhambi!
Hela zake anazidi kula, rasilimali zake baadhi anazitumia ila sex ni mpaka waoane, wakati huo ana wivu mkubwa, hataki hata asimame na mdada ni kesi kubwa.
Hapo kuna mapenzi au usanii? Na huwa inafaida gani kuishia kutamani tu mpaka muoane?
Jamaa yangu ananilalamika kila siku anadai mpenzi wake anakataa kutoa mali kisa anaogopa watachokana mapema lakini pia kiimani ni kosa/dhambi!
Hela zake anazidi kula, rasilimali zake baadhi anazitumia ila sex ni mpaka waoane, wakati huo ana wivu mkubwa, hataki hata asimame na mdada ni kesi kubwa.
Hapo kuna mapenzi au usanii? Na huwa inafaida gani kuishia kutamani tu mpaka muoane?