William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mkuu Mama Mdogo anahesabu Siku Pale SAME, waiti 2015 ndo utajua kama CDM wanafanya masihala, nakuhakikishia Mama Mdogo harudi kamwe Mjengoni na Ndo itakuwa mwisho wa Jina la Malecela, Haina haja ya Kukaa kubishana tusubiri tuone
- Kila unapokuja uchaguzi muziki wenu ule ule harudi! harudi! so far sasa term ya tatu!! harudi my foot, nyie subirini kupigwa kama mlivyopigwa kwenye Udiwani juzi, ebo! ha! ha! ha!
CHEZEYA CCM WEYE!!
Le Mutuz
Je. vipi kuhusu watu kuvua magamba, nalo ni jambo jema ?Kujenga ofisi kila sehemu zenye hadhi ni jambo jema hongera Dr Slaa.
Kwani lazima watutangazie sisi mikakati yao? Si wafanye kimya kimya? CCM wakiwadaka itakuwaje?
I thought ulisema unajitoa jamvini kimoja!!!
Kujenga ofisi kila sehemu zenye hadhi ni jambo jema hongera Dr Slaa.
Kweli wewe naona akili iko na katatizo kidogo...afu eti kiongozi wa CCM.Hivi huna taarifa kuwa kata kadhaa pale songea ziko chadema? hujui kuwa kuna ofisi za chama Zanzibar...Kusema hakuna wanachama kabisa zanzibar ina maana katika uchaguzi wa Uzini Chadema ingepata sufuri....Dah kweli ukiwa CCM unatakiwa uwe na akili ya maiti- Yaaani huyu Mzee huwa ananishangaza sana, yaani Chama hakina wanachama kabisa Zanzibar wala Songea, lakini yeye anakimbilia kufungua matawi Ughaibuni na sasa eti atawaajiri Makatibu kila Mkoa, yaani hawa Chadema na huyu Mzeee hawana jipya lao, kila siku kuiga toka CCM, sasa nimeamini kwamba kinyago ulichokichonga mwenyewe hakiwezi kukutisha!! Le Mutuz!!
- Ninajitoa my foot kumbe unaniogopa kihivyo? duh unaona sasa maana ya The King Of All Network Social Media, badala ya kujibu hoja unaaanza kulilia lia eti kwa nini nipo humu? ebo kazana wewe mtoto wa kiume!!
Le Mutuz!!
Maneno yako unayotoa hapa JF yanakuonyesha wewe ni mtu wa hovyo kabisa usiye na maana yoyote.Ni matusi makubwa kwa Mzee Malecela kuwa na mtoto kama wewe.
- Yaaani huyu Mzee huwa ananishangaza sana, yaani Chama hakina wanachama kabisa Zanzibar wala Songea, lakini yeye anakimbilia kufungua matawi Ughaibuni na sasa eti atawaajiri Makatibu kila Mkoa, yaani hawa Chadema na huyu Mzeee hawana jipya lao, kila siku kuiga toka CCM, sasa nimeamini kwamba kinyago ulichokichonga mwenyewe hakiwezi kukutisha!!
Le Mutuz!!
- Yaaani huyu Mzee huwa ananishangaza sana, yaani Chama hakina wanachama kabisa Zanzibar wala Songea, lakini yeye anakimbilia kufungua matawi Ughaibuni na sasa eti atawaajiri Makatibu kila Mkoa, yaani hawa Chadema na huyu Mzeee hawana jipya lao, kila siku kuiga toka CCM, sasa nimeamini kwamba kinyago ulichokichonga mwenyewe hakiwezi kukutisha!!
Le Mutuz!!
songea unayeongelea ni ipi? Ya tanzania au! Madiwani wote wa city/town center songea ni wa cdm! Mkuu kama ni uwongo hapo umetumia wa magamba. Ccm imeshikwa kotekote si magharibi,kusini ,kaskazini hata mashariki. Kama ni kuiga au kukopi ccm ni balaa, eti kinana ana muiga dk slaa kuhusu kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi. Naamini ccm itazikwa muda si mrefu!
Kujenga ofisi kila sehemu zenye hadhi ni jambo jema hongera Dr Slaa.
Kweli wewe naona akili iko na katatizo kidogo...afu eti kiongozi wa CCM.Hivi huna taarifa kuwa kata kadhaa pale songea ziko chadema? hujui kuwa kuna ofisi za chama Zanzibar...Kusema hakuna wanachama kabisa zanzibar ina maana katika uchaguzi wa Uzini Chadema ingepata sufuri....Dah kweli ukiwa CCM unatakiwa uwe na akili ya maiti
Mkuu hilo limjamaa nilikuwa nalionaga la maana enzi hizo "likiripoti" kutokea sijui wapi huko NY. Lakini kadiri siku zinavyokwenda nimegundua ni limjamaa la hovyo kabisa; busara kichwani hamna kabisa tofauti na umri na exposure aliyo nayo.
Limejitahidi kugombea vijinafasi huko magambani lakini limepigwa chini kila idara limebaki kujitia aibu kwenye vijarida vya udaku. Ukiona mtu umekuwa mfuasi mwaminifu wa magamba na unalindwa na "jina kubwa" na umeishi ughaibuni zaidi ya umri wa kijana but yet unapigwa chini hadi nafasi ya uenyekiti wa mtaa unapaswa kujitathmini upya na ukae kimya forever. Tatizo hajitambui.
- Yaaani huyu Mzee huwa ananishangaza sana, yaani Chama hakina wanachama kabisa Zanzibar wala Songea, lakini yeye anakimbilia kufungua matawi Ughaibuni na sasa eti atawaajiri Makatibu kila Mkoa, yaani hawa Chadema na huyu Mzeee hawana jipya lao, kila siku kuiga toka CCM, sasa nimeamini kwamba kinyago ulichokichonga mwenyewe hakiwezi kukutisha!!
Le Mutuz!!
mkuu state utaludi lini, make apa bongo umekua kama kandambili kazi yako haifahamiki zaidi ya kuvaliwa mtu akienda chooni, na kale kablog kako uchwara kameishia wapi?