kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nakumbuka wakati beer hii ikitoka Kenya ilikuwa na wapenzi wengi mno!Baadae ikaadimika sana tukaambiwa Serengeti waliinunua na hivyo itaanza kutengenezwa Tanzania.
Walipoanza kuileta sokoni Mimi nikiwa mteja namba moja nilifurahi sana!Lakini,ilikuwa bahati mbaya sana kwangu na nilitaka kuacha kabisa kunywa beer!Maana Tusker hii ilichakachuliwa na ikakosa ladha kabisa.
Sasa leo, nauliza,je mmerekebisha mlichochakachua nianze kunywa tena Tusker larger?
Post sent using JamiiForums mobile app
Walipoanza kuileta sokoni Mimi nikiwa mteja namba moja nilifurahi sana!Lakini,ilikuwa bahati mbaya sana kwangu na nilitaka kuacha kabisa kunywa beer!Maana Tusker hii ilichakachuliwa na ikakosa ladha kabisa.
Sasa leo, nauliza,je mmerekebisha mlichochakachua nianze kunywa tena Tusker larger?
Post sent using JamiiForums mobile app