Tusivilalamikie vyombo vya habari kutoripoti habari za Lissu wakati Lissu mwenyewe hana hoja za msingi

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,223
12,943
Binafsi nimefanya uchunguzi toka Mh. Lissu arejee nchini sijaona ata moja aliloongea ambalo unaweza kuweka headline au habari ya kwanza kwenye television yako, tukianza na hapa jamii forums awe mdau pitia nyuzi hapa angalia habari za Lissu tangia arudi utagundua hakuna habari iliyowekwa humu ambayo ni zao la kinywa chake zaidi ya ile "Sitolipa kisasi".

Kwaiyo kabla hatujavilaumu vyombo vya habari tujiulize je, mgombea wetu anazungumza yapi ili aweze kuwekwa front page za magazeti yetu? Je, jamii forums jukwaa huru la siasa lina habari gani nyeti iliyotoka kinywan mwa Tundu Lissu ambayo inaonekana imebeba mashiko kwa Kila member?

Tuandike upotoshaji wake alioungea kule Kenya kuwa Tanzania kuna Corona? Sion Cha kumuandika Lissu ata ye mwenyewe Kila siku anaongea kuhusu risasi 16.

IMG-20200811-WA0025-722x950.jpeg
 
Hueleweki, wakati huo huo umebandika page ya Mwananchi.....duh
Hiyo habari ni ya gazeti la leo, mi naongelea tangia arudi kafanya press , kahutubia lakini hajatoa hoja nzito zaidi ya hiyo ambayo imewekwa kwenye gazeti la mwananchi na hata hapa jf ukifatilia hakuna uzi wenye hoja iliyotoka kinywan mwake!
 
Hiyo habari ni ya gazeti la leo, mi naongelea tangia arudi kafanya press , kahutubia lakini hajatoa hoja nzito zaidi ya hiyo ambayo imewekwa kwenye gazeti la mwananchi na hata hapa jf ukifatilia hakuna uzi wenye hoja iliyotoka kinywan mwake!
Uzito au uwepesi wa hoja inategemea uko upande UPI! Hata hivyo relax muda bado! Kama humuelewi Lissu basi utakua unafanya makusudi au una matatizo kichwani.
 
... kwani ni vyombo vyenyewe havitaki kuripoti au vimepigwa pini kufanya hivyo? Kama Lissu hana cha maana vyombo vya habari viachwe viripoti "ujinga" wake wananchi wenyewe wachambue pumba na mchele. Kwanini vinatishwa?
 
... kwani ni vyombo vyenyewe havitaki kuripoti au vimepigwa pini kufanya hivyo? Kama Lissu hana cha maana vyombo vya habari viachwe viripoti "ujinga" wake wananchi wenyewe wachambue pumba na mchele. Kwanini vinatishwa?
Waandike Tanzania kuna Corona Kama alivyosema kule Kenya?
 
Lisu hana hoja. Yule anayetumia muda mwingi kutoa vibwagizo vya kingono ngono ana hoja?
Nikupanulie wapi?

Isjekuwa barua ya mapenzi? Kupendwa raha Sana.

Huyu mama ni mweupe. Ukimuangalia tu stress zinaisha.
 
Mpinzire,

POST yako imekosa hoja zaidi ya chuki, kiumbe chochote huhitaji kusikilizwa kwani ni msingi wa haki.
Sisi tunamsikikiza sawa ila habar zake Zina mahudhui chanya kwa jamii? Fatilia hapa jf Kuna post kibao za kumuhusu Lissu lakini ambayo utakuta zimejengwa kwenye hoja nzito zenye malengo chanya kwa taifa ni moja au mbili nyingine zote ushabiki tupu hakuna la maana na ao wanaopost ndiyo wanamsapoti unategemea nn?
 
Sisi tunamsikikiza sawa ila habar zake Zina mahudhui chanya kwa jamii? Fatilia hapa jf Kuna post kibao za kumuhusu Lissu lakini ambayo utakuta zimejengwa kwenye hoja nzito zenye malengo chanya kwa taifa ni moja au mbili nyingine zote ushabiki tupu hakuna la maana na ao wanaopost ndiyo wanamsapoti unategemea nn?
Andika kiswahili kizuri nikuelewe mimi sikijui kinyiha.
 
Kwa hio Rais Magufuli anasema JOGOO HOYEEEE!!! huko ndio kujenga hoja sana eee.
 
Binafsi nimefanya uchunguzi toka Mh. Lissu arejee nchini sijaona ata moja aliloongea ambalo unaweza kuweka headline au habari ya kwanza kwenye television yako, tukianza na hapa jamii forums awe mdau pitia nyuzi hapa angalia habari za Lissu tangia arudi utagundua hakuna habari iliyowekwa humu ambayo ni zao la kinywa chake zaidi ya ile "Sitolipa kisasi".

Kwaiyo kabla hatujavilaumu vyombo vya habari tujiulize je, mgombea wetu anazungumza yapi ili aweze kuwekwa front page za magazeti yetu? Je, jamii forums jukwaa huru la siasa lina habari gani nyeti iliyotoka kinywan mwa Tundu Lissu ambayo inaonekana imebeba mashiko kwa Kila member?

Tuandike upotoshaji wake alioungea kule Kenya kuwa Tanzania kuna Corona? Sion Cha kumuandika Lissu ata ye mwenyewe Kila siku anaongea kuhusu risasi 16.

Hater in process
 
Back
Top Bottom