Tusipopata UKWELI huu Wengi tutaihama CHADEMA

Tusipopata UKWELI huu Wengi tutaihama CHADEMA

Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo - HATUNA MPANGO HUO KWA SASA, RUZUKU HAITOSHI HATA MISHAHARA YA VIONGOZI.
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama - KWA SASA HATUNA UKOMO, MPAKA CHAMA KIIMARIKE.
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali. - TUMEWEZA KULETA UKOMBOZI WA FIKRA KWA WANANCHI!
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.- KWANI WEWE HUJUI ANATOKEA WAPI?

Una swali jingine? haya kama hujaridhika ondoka mapema, kabla haujapigwa! sasa hivi kila msaliti tunampa kichapo!
 
Umetumwa?
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.
 
1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo - HATUNA MPANGO HUO KWA SASA, RUZUKU HAITOSHI HATA MISHAHARA YA VIONGOZI.
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama - KWA SASA HATUNA UKOMO, MPAKA CHAMA KIIMARIKE.
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali. - TUMEWEZA KULETA UKOMBOZI WA FIKRA KWA WANANCHI!
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.- KWANI WEWE HUJUI ANATOKEA WAPI?

Una swali jingine? haya kama hujaridhika ondoka mapema, kabla haujapigwa! sasa hivi kila msaliti tunampa kichapo!

Haya mwanacdm.... hayo ni mawazo yako.. sasa kwa swali la 1 unataka kuniambia hadi sasa chama kinaongozwa kwa recurrent expenditure and there is no capital expenditure? .........
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.

Ingerikuwa nafuu sana ukahama mapema, badala ya kupoteza muda wako kuomba uelezwe kwanza hayo unayotaka wewe uelezwe sijui kama nani ktk cham,a au hata hapo ulipo sasa unaposoma majibu haya. Chama chenye mpango na malengo mapana kinaongozwa na kujengwa na wenye moyo, sio wanaowaza kutishia kila wanapokutana na wasirolitaka wao.

Kwa taarifa yako, hakuna anaemzuia Zitto kutekereza wajibu wake ndani na nje ya chama kama wengi mnavyolishwa maneno, ni mawazo yenu nyie msio na taarifa za kina, na mnaotegemea maneno ya kuambiwa na wengine, nanyie mnayasema bila kuyatafiti kwanza. Zitto anayo ofisi yake kwa wadhifa wake pale makao maku, ingawa hakai sana.

Pia labda nyie leo mtueleze kwa jinsi mnavyojua nyie:
1.Nafasi aliyonayo Zitto ktk chama inapatikana vipi kwa mujibu wa katiba, na yeye ilikuwaje akawa naibu katibu mkuu wa chama Tanzania Bara?.
2.Kama hapewi nafasi,vipi ni mwenyekiti wa kanda ya Magharibi ki-chama?, na walizindua na mweyekiti wa chama
Taifa.

Niseme tu kwamba, mnaweza kutuma chochote ktk mitandao ya kijamii, mkidhani mnahoja ya msingi sana, lakini mkaishia kudhihilisha upungufu wenu wa uelewa binafisi, lakini pia na uelewa mdogo mulionao ktk mambo ya chama.

Acheni kabisa kumgombanisha Zitto na viongozi wenzie, wanachama pia. Uzuri tu nikwavile mambo haya ya kutengeneza, uongozi wa chama kitaifa pamoja na Zitto pia walikwisha gundua haya, na hata yeye mwenyewe amesema sana, Makene pia aliisha lisemea sana hili.

Chadema itaendelea kuimalika kinyume na matakwa yenu.

VIVA CHADEMA.
 
Kijana hujalelewa. Siyo bure,wewe utakuwa umekulia kwa babu, kwa hiyo unamiss mapenzi ya baba na Mama ndo maana unaandika mambo yasiyoeleweka.
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.
Inatakiwa wataalam wa kiswahili hususan BAKITA waanze kuwajibisha watu wanaotumia Lugha vibaya maana watu hawaijui sarufi kabisa ....mtu anashindwa kuzungumzia upatanisho wa kisarufi (Concordial Agreement) anapotoa kauli inayomuhusu yeye mwenyewe Mfano tutahama badala ya nitahama....japo yawezekana hata si mshirika wa huko anakosema atahama
 
Kusema ukweli sisi wadmd wengi ni weupe kimkakati...kama tukiacha kupuuzia mambo basi tutakijennga chama vizuri ila tukipuuzia tutakua kama upepo uvumao.Ni vyema tutkakubali kwamba changamoto zipo na pia madhaifu yapo... lamsingi ni kuangalia namna ya kukabiliana nazo na sio majibu mepesi mepesi tuu... hapa tunaangalia uendelevu wa chama and its legitimacy not otherwise. Hivyo nategemea kupata majibu ya kujenga na sio hisia za makalio

Endelea kumtumikia shetani aliyekutuma,eti zitto hapewi nafasi! kama ndiyo karata yenu mmechemka.mtaendelea kuiona cdm hiyooo inachanja mbuga kuelekea 2015.hatuna undugu na mamluki.
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.

Wewe sio cd.
Kama kweli njoo ofisini au kwenye vikao upate majibu
Tunakuaga vizuri ingawa sio cdm.
Vyama viko vingi wasalimie wenzio wa lumumba.
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.

Hama bana tumewachoka mamluki.
 
1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo - HATUNA MPANGO HUO KWA SASA, RUZUKU HAITOSHI HATA MISHAHARA YA VIONGOZI.
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama - KWA SASA HATUNA UKOMO, MPAKA CHAMA KIIMARIKE.
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali. - TUMEWEZA KULETA UKOMBOZI WA FIKRA KWA WANANCHI!
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.- KWANI WEWE HUJUI ANATOKEA WAPI?

Una swali jingine? haya kama hujaridhika ondoka mapema, kabla haujapigwa! sasa hivi kila msaliti tunampa kichapo!

We gamba gumu tumeshakushtukia hutubabaishi CHADEMA itaendelea kuwatesa.
 
Sema utahama na ili uhame lazimabuyhibitishe kwelu mkazi au maneno tubmaana sisi wakazi wa chadema tunaona sawa tu
 
Mtasubiri sana,mbona MA ccm WALIMFANYA WALIYO MFANYA Horice Kolimba na hakuna anayekumbuka,mbona JK ndio muanzilishi wa kuhubiri chuki za udina na u Hizzibu na bado anapeta?usiwe na akili za kambare mdoa mada nenda kajipange upya
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.
Hama tu. Jiulize CHADEMA inakuhitaji au wewe unaihitaji CHADEMA kufikia malengo ya kisiasa?
 
Inatakiwa wataalam wa kiswahili hususan BAKITA waanze kuwajibisha watu wanaotumia Lugha vibaya maana watu hawaijui sarufi kabisa ....mtu anashindwa kuzungumzia upatanisho wa kisarufi (Concordial Agreement) anapotoa kauli inayomuhusu yeye mwenyewe Mfano tutahama badala ya nitahama....japo yawezekana hata si mshirika wa huko anakosema atahama
Well nailed!
 
wewe hujawahi kuwa chadema hata kwa mara moja. Utaihama kivipi?
 
Nenda mwenyewe na famlya yako japo naamini sio wote watakufuata,na lini ulikuwa mwana chadema?utoke ccm ukose pombe za msimu utakuwa umelogwa,tuachie mzik wetu tucheze wenyewe kaa pembeni ukushangirie.
kwa staili hii kweli ukombozi uko mbali.
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.

Wewe ni mwana ccm!! Sasa utahamaje chadema na sio mwanachama?. Acha unafiki kucheza na akili za wengine.
 
Jitenge na kuwasemea wengine kwani naamini wakati unaweka uzi huu ulikuwa unafanya hivyo kwa matakwa yako binafsi,vinginevyo unatuaminisha kuwa ukikuwa ktk ki-corridor kile cha lumumba mnapojazana kama magunia ya viazi.Kwa maana hiyo basi usisubiri majibu ya ya hayo uliyoyoyataka ni vema kawahi buku 7 eti Mpambanaji.com!nyambaf
kwa hiyo kila anayekosoa chama ni kutoka lumumba?
 
Kete ya Mwisho ya kuimaliza CDM ni kutumia mamluki kugombea vyeo ya ki-utendaji ndani ya CDM

hapa kweli wamewashika ina maana unataka kusema uchaguzi hautafanyika kwa kuogopa mamluki? kama ndo hivyo tutegemee Mbowe na Slaa watakaa madarakani milele Maana sina uhakika kama mamluki wanaweza wakaisha kwenye chama leo ukimwondoa mamluki mmoja kesho wanazaliwa wawili
 
Back
Top Bottom