Salam wanaJF,
Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:
1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.
Nawasilisha.
Salam wanaJF,
Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:
1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.
Nawasilisha.
Salam wanaJF,
Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:
1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.
Nawasilisha.
Mtu yeyeote kutoka Lumumba anaweza kuandika maelezo kama hayo uliyoandika
Cdm ni chama cha ukoo ndio maana hakitaki kukospolewa. Ila wao ndio wa kwanza kushutumu vyama vingine. Urais watausikilizia marangu mtoni
TULIJUA TOKEA ZAMANI NGOMA YA WATOTO HAIKESHI,OLE WENU MURUHUSU DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA "kushney" sababu WACHAGA hawatakubali kupokonywa chama chao!!!!
Salam wanaJF,
Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:
1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.
Nawasilisha.
yaani sisi tuame cdm kwa sababu ya vihoja vyako vyepesi kiasi hiki.kama unajua kuhoji kweli,kwanini usitusaidie kuhoji ccm wanaokusanya kodi zetu nakuzifuja kiasi hiki, na kutawanya hovyo Maliasiri za nchi hii?
Kusema ukweli sisi wadmd wengi ni weupe kimkakati...kama tukiacha kupuuzia mambo basi tutakijennga chama vizuri ila tukipuuzia tutakua kama upepo uvumao.Ni vyema tutkakubali kwamba changamoto zipo na pia madhaifu yapo... lamsingi ni kuangalia namna ya kukabiliana nazo na sio majibu mepesi mepesi tuu... hapa tunaangalia uendelevu wa chama and its legitimacy not otherwise. Hivyo nategemea kupata majibu ya kujenga na sio hisia za makalio
Usisubiri majibu, anza mbele na matangazo. huna tofauti na juliana shonza na mtela mwampamba, nimekudharau sana. chapa mwendo lakini tutaikomboa nchi ili ufaidi maziwa na asali vipatikanavyo kwayo.