Ha ha wewe tutakukolimba we acha tuu nyani haoni kunduleYaani mtu yoyote wa CDM akiuliza maswali magumu anaonekana sio mwenzao,rejea Mwigamba kilichomkuta,ambaye alikua ni mwenyekiti wa mkoa,eti leo Ben Saanane ni mwaminifu kuliko Mwigamba si kujidanganya tu.vijana wengi kwenye vyama vya siasa wapo kimaslai tu!
Binafsi uchaguzi uliopita nilimpa kura dr Silaa sababu nilikua nahitaji mabadiliko,ila mwaka ujao sijui kama nitashawishika