Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.

Kuna rafiki yangu mmoja wa Rwanda ambaye alikuwepo huko kabla na wakati wa mauaji ya kimballi huko juzi ameniambia hali inayoanza kutokea Tanzania ni ile ile iliyokuwa huko kwao kabla ya genocide. Jambo la kushangaza ni jinsi serkali inavyochochea tofauti hizi na kutia mafuta katika fukuto hili la kidini kwa maslahi yake. Kwa vile sasa watawala wanaona hawakubaliki kama zamani wanafikiri ni bora kuigawa jamii katika udini ili angalau wawe na mtetezi!!! Lakini kwa vile malengo haya tunayajua ni vizuri sasa data zianze kukusanywa na ushahidi wa magazeti, kanda n.k n.k Pia ni vizuri kuwa alert mapema mahakama ya kimataifa ili damu zikishamwagwa waliohusika na uchochezi huu pamoja na walio engineer wakumbane na mkono wa sheria.
 

Damu ya wafia dini ni mbegu ya mazao mengi ya imani. Unaweza kuua mwili lakini huwezi kumfunga Mungu kutenda kazi. Mungu ana nguvu na uwezo kuliko mipango yote ya uislamu dunia nzima. Believe me imani ya kuua wengine ili kupanua himaya ya umma wa uislamu haitashinda dunia kama alivyofikiri Mohammed. Kama himaya nyingine mashuhuri zilivyoanguka ndivyo itakavyokuwa kwa uislamu unaojaribu kujipanua kwa kuuwa wasio waislamu. Kama unafikiri nakudanganya muulize rafiki yako Ahmedinejad, watu wanaochoka na ukandamizaji wa utawala wa ki imla wa uislamu ni wengi. Ninyi wengine hamjui mateso waliyomo ndugu zenu katika nchi hizi zinazotawaliwa ki imla kwa kisingizio cha sharia za mnyazi mungu, watu wamo katika kongwa zito. Na kila siku watu wanamgeukia Mungu wa kweli Iran. Wanasali kwa vificho, wakikamatwa wanauawa lakini wana amani mioyoni na wanafurahia uhuru wa kweli.
 
Haya mambo ni ya kuangalia kwa makini na pia kuvumiliana sana maana imani kitu kingine kabisa. Kuna wakati Kitwana Kondo aliwahi lalamika kuwa kwa nn magerezani waislamu ni wengi as if wanaonewa, sasa ukitafakari unakosa majibu alitakaje.
 
Hivi utawala wa ki imla unaujuwa au basi tu unatumia misamiati ili uonekane kuwa unajuwa kiswahili... hivi yale majeshi ya kikristo kule Iraq, yanafanyakazi gani... Wanapiga mziki au sio?
 
waislaumu walikuwa wakifelishwa makusudi shuleni ili wasisome,

mh!!!hii redio uchwala sana ndo mambo ya kuongea hayo mbona waislamu wengi wamesoma yaani mnapenda unafuu sana ndio maana mnapewa PhD za zawadi wakati wenzenu wanazihangaikia

mkapa lilikataa JK kachukua na bado anaendelea kuomba zingine
 

hebu niambie huo uwezo wa ALLAH unaousema hapa ni upi? Na kama uko tayri kufa si uende somali tu huko kuna ndugu zako kibao wanaendelea kueneza dini .naona umehusisha hisia zako sana bila kuhusisha ubongo
 
Hongera Radio imani
"MESSEJI IS SENT"

Kuna mtu anadai Radio imani haina wasikilizaji wengi .
Coverage yake inakaribia "Radio free africa ya mwanza na inawasikilizaji wengi kuliko radio yoyote Tanzani
MIKOA AMBAYO RADIO FREE INAFIKA NA PAMOJA NA DAR ES SAAM,PWANI,MOROGORO,TANGA ,TABORA,MWANZA,MARA,KIGOMA,MTWALA,LINDI,UNGUJA,PEMBA,DODOMA,ARUSHA N.K
 
Ulipokuja waraka wa wakatoliki hamkuona kuna tatizo?

Maaskofu walipoanza kushiriki kampeni za siasa, hamkuona tatizo ?

Maaskofu kutomtambua Meya Arusha (siasa na sheria), hamkuona tatizo ?

Leo ndio mnaona matatizo ??

Wanafiki wakubwa nyie, nilifikiri tunapigania haki ya kila mtanzania, tumeishambulia serikali pale ilipokosea pamoja, kumbe mlikua na jambo lenu lingine, lakini sasa rangi zenu za udini mmeshindwa kuzificha. Tutapambana hapa hapa JF, ngome yenu kuu ya kusambaza chuki zenu za udini na chama chenu Chadema
 

naona unakosea kijana/mzee. kwani mbona wasomi wa kiislam ndio wanaoleta hoja hizo baada ya kusoma vitabu mbali mbali? mbona vitabu kadhaa ya wasomi kama msaud na maprof wa kiislam na hata wakiristo wanakubaliana na baadhi ya hoja kama vile uoenevu kwa waislam?
 
Unaandika na moyo unakusuta. Eti wakristo wanapendelewa kielimu!! Mtafananaje kielimu wakati muda mwingi unatumika kwenye bao na kunywa kahawa na kashata. Ninyi akili yenu ipo kwenye madrasa ambayo nayo hufundishwa kwa bakora.
 

Nawe unaona ni vibaya Kuchanganya siasa na dini? Tuambie siasa inachanyika na nini maana wanasiasa ni ma-injinia, madaktari, waalimu, waimbaji, wachungaji, etc. na wakiwa bungeni hutamba kwa taaluma zao, iweje dini isitumike?
 
Katiba inatoa uhuru wa kila mtu kujieleza, sote tutambue hilo.

Kwa muungwana na mpenda nchi lazima afikiri mara mbili kabla ya kutoa mawazo yake ili kuepusha sintofahamu katika jamii.

Je kwa wale wanaodhani hao Masheikh wamekosea kwa lugha waliyoitumia mbona na wao lugha wanazozitumia kujibu (humu jamvini) sioni tofauti sana na za hao Masheikh!

Tanzania yenye neema ni muhimu kwa wote hivyo ni wajibu wetu kuitunza.

Ni ujinga uliokithiri kukoroga nchi kwa sababu za udini wakati mkifumbia macho mambo mengine ya msingi!
 
Wakristo huko makanisani kwenu huwa hakuna cha maana munachofanya zaidi ya kuwasingizia uongo waislamu.Mimi nimechoka na hoja zenu za kitoto.Hata mukipewa majibu ya kitafiti munarudia yale yale.Mfano waislamu kunywa kahawa na kula pilau au watumwa waliopelekwa Marekani wamebaki lakini wale wa Arabuni walihasiwa.Ujinga mtupu!.
Kuhusu kunywa kahawa na kashata ukarudi nyumbani kulala na kunywa bia ukaanguka njiani nini bora?.Angalia sasa hivi Tanzania kote kuna mabaa makubwa jirani kabisa na vituo vya polisi na mahakama hata za rufaa.Nini unategemea hapo?.
Kwenye bia huwa munaambizana uongo halafu munasahau ilikuwaje,ndio maana hatimae matamko ya kijinga yanatoka vinywani mwenu.

Mimi nimesikia kwenye kahawa kuwa Kikwete ndiye raisi wa kwanza Tanzania kutekeleza kiapo cha kuapishwa kwake kwa aslimia angalau 50.Amekuta madudu ya kanisa ambayo hayako kwenye katiba mpaka akifikiri anapata kizunguzungu na kushindwa kujizuia.Haya ameshindwa nayo na makanisa kwa upande wao wanalazimisha yatendeke.Hapa ndipo makanisa yanapopata taabu na kuwaza kumpindua.
Kikwete nakwambia! kauka nao mpaka mwisho, na hakuna utakachopoteza.
Shamsi Vuai,Mwema na yeyote mwengine katika polisi puuzeni porojo za Chadema.Ingekuwaje kama wanachadema wangeachwa na kuchoma moto msikiti!,si ingekuwa balaa zaidi !.
Hapo zamani mulizoea kutuzushia mambo na hatukuwa na sehemu ya kujitetea.Tukaonekana mbele ya jamii majuha.Leo tunajitetea munaanza kuleta chokochoko.
 
Unaandika na moyo unakusuta. Eti wakristo wanapendelewa kielimu!! Mtafananaje kielimu wakati muda mwingi unatumika kwenye bao na kunywa kahawa na kashata. Ninyi akili yenu ipo kwenye madrasa ambayo nayo hufundishwa kwa bakora.

sasa nyinyi mmesoma, mbona nchi yetu maskini sana, mafisadi wa kutupwa, omba omba. au hio elimu mnatumia kuila nchi? au ndio maamrisho ya kanisa kusoma halafu kula nchi yetu?hamuno haya kusema mumesoma lkn nchi yetu maskini?
 

Meseji izi noti onli senti bati oso delivad (Message is not only sent but also delivered/ sio kwamba ujumbe umetumwa, lakini pia umetumwa).
Hongera radio imani, wekeni pia matangazo yenu ktk satelite ili watanzania walio nje ya nchi wapate kuyasikia.
 
Crap bin utumbo
 
yaani mimi nikitaka kuongeza kisukari uwa nasikiliza hiyo redio na nyingine iliyoko dar!full upuuzi,mashekhe wawe na degree kama mapadre labda IQ YAO ITAONGEZEKA!MTU UTAFELISHAJE WAKATI MITIHANI INAFANYA KWA NO?

Hujui unaloliongea wewe? Hizo namba za mtihani unajua zilikujaje?
 
Mkuu naona ukweli umekuuma. Ebu niambie jihad maana yake ni nini?? By the way, una taarifa kwamba Ijumaa ijayo kuna mfadhili mmoja kutoka Afghanistan atagawa misaada mbalimbali maeneo ya mtoni kwa aziz alli?? Nasikia hata pilau itakuwepo.



ndugu yangu mimi ni muislam na naifaham vizuri dini yangu wala sikupingi kwamba uislam umeenea kwa upanga ila ni kwa amri ya Allah na siku zote makafiri tunaishi nao ila wakituchokoza tutawapiga kwa upanga popote tutakapowakuta kwa mali zetu na nafsi zetu, wala usiwe na shaka tunawapa muda muendelee kuchokoza ila ipo siku mtajuta tutawapiga na kuwachinja kwa amri na idhini ya ALLAH TABARAKA
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…