Wakubwa hili ni tatizo, lakini sio kwamba limeanza leo au jana au juzi la hasha......haya ni ya muda mrefu sanaaaa....kwa miaka hata kabla hawa mabwana hawajawa na chombo kama Radio!!!
Mijadala mingi ya kuukashifu ukristo inaaachwa inaendelea tuuu kwa miaka mingi.. Lakini historia inatuonyesha kuwa uislaam ulienezwa kwa upanga tofauti na ukristo ulivyo huu ni ukweli usiopingika.....sasa cjui wapi tunaenda, kibaya zaidi hawa wanayofanya mambo haya upeo wa ni mdogo sanaaa kwa athari zitakazo tokana ni hili wanalolifanya huko serekali inawangalia tuuu sasa cjui. Mnakumbuka enzi za Mzee ruksa ile vita ya kuvunja mabucha ya nguruwe?
Sasa fanya utafiti juu ya wale walioshiriki kwenye ile vita leo hii wengi wao waliofanya ule ujinga tena viongozi ni Wakristo!!!!
Usipotoshe ukweli kwa dai lako la uongo kuwa Uislamu ulienezwa kwa upanga! haya nakuuliza, Uislamu ulipoingia huku kwetu miaka 1000 kabla ya ukristo kuja ni upanga gani huo uliotumika mpaka babu zetu wakasilimu?
Maeneo ya Machame, Usangi, Ugweno, Moshi mjini, Bukoba, Musoma nk, kuna Waislamu pia sasa upanga uliotumika kuwasilimisha umeuhifadhi ktk MUSEUM yako?
2) Indonesia ni nchi yenye idadi kubwa sana ya Waislamu duniani kote, sasa uislamu ulipoingia huko ni upanga upi huo uliotumika?
India, Pakistani, Afganistani, Kosovo, Bosnia, mackedonia, Uzbekistan, Urusi, Chechenia, USA na nchi nyingi duniani wanakoishi waislamu ni upanga gani huo uliotumika?
Labda Ukristo ndio ulioenezwa kwa mtutu wa bunduki ndio maana Wazee wetu akina KINJEKITILE walikataa kudanganywa na Wazungu waliokuja kama Wamisionari kumbe lengo lau ni kuwabatiza na kuwatala!
Usituletee propaganda chafu zilizopitwa na wakati tafuta lingine la kuongea lakini sio *****!