Tusio na nyumba tukutane hapa

Tusio na nyumba tukutane hapa

Je una nyumba?

  • Ndio nina nyumba

    Votes: 23 29.1%
  • Sina nyumba

    Votes: 27 34.2%
  • Kikubwa uzima

    Votes: 29 36.7%

  • Total voters
    79

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
43,981
Reaction score
95,420
Mimi kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao hiki cha dharura.

Lengo la kuitisha kikao hiki ni kujua idadi ya ma jobless tusio na nyumba ,
maana humu jf kila niki zunguka kila mtu ana nyumba au mjengo mkali na wa maana.

tuki ijua idadi yetu, tuna weza tuka ungana kuweka mgomo ili watu punguzie Kodi, au tumchangie mmoja wetu apate wa kwake 😂😂🦅.

I mean no malice to nobody
FB_IMG_16929634320527776 (1).jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom