ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,726
- 2,402
Tatizo viongozi wake wanadhani kupasuka ni kuhama kwa viongozi wake mashuhuri.
Kukatwa kwa lowassa kunaonesha jinsi watu wametengeza chuki baina ya makundi.
CCM wategemee adhabu ya kura za hasira.
mmmmh izo kura za hasira si mlianza kusema zitapigwa kuanzia mkutano mkuu kumpa ushindi amina salum ama asha rose?! hii game atapigwa supa mtu hakuna kuingia kingi kubabake