Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
ndugu mpendwa ukiwa mmoja waliobahatika kuiona siku ya leo
embu nenda kaombe kwa wajili ya wagonjwa
muuliz mungu umemfanyia nini auko muhimbili,..wale wa muhimbili wamefanya kosa gani..waombee mungu akawaponye kabisa..hospital sehemu ya kuzaa unaondokasi kufika na kuweka makao.....jiulize kwa nini umeona kwenye hiace ya ajali ya kongowe umempa nini mungu..hao waliokufa wamekosa nini...
ombea wajane
wapo wajane engi sana wana shida mbali mbali hasa wimbi la kuchukua mali zao wakati wako na watoto,..na wamechimba na waume zao..kataa hii hali dhambi kubwa,...
ombea YATIMA
awa awakupenda kutokuwa na baba wala mama shida na matatizo ama kwa bahati mbaya kumewakumba hayp..chukua jukumu la kuwaombe na kuwasaidia
MASKNI
Hawa nao awakupenda kuwa na shida kama hizo..waombee mungu akawatoe kwenye changa la macho la umskini wakapenye na wao siku moja mkapungiane kwenye setimila...
ukifanya hayo umekamilisha usemi dini ilio bora ni!!
MUNGU AKUBARIKI
embu nenda kaombe kwa wajili ya wagonjwa
muuliz mungu umemfanyia nini auko muhimbili,..wale wa muhimbili wamefanya kosa gani..waombee mungu akawaponye kabisa..hospital sehemu ya kuzaa unaondokasi kufika na kuweka makao.....jiulize kwa nini umeona kwenye hiace ya ajali ya kongowe umempa nini mungu..hao waliokufa wamekosa nini...
ombea wajane
wapo wajane engi sana wana shida mbali mbali hasa wimbi la kuchukua mali zao wakati wako na watoto,..na wamechimba na waume zao..kataa hii hali dhambi kubwa,...
ombea YATIMA
awa awakupenda kutokuwa na baba wala mama shida na matatizo ama kwa bahati mbaya kumewakumba hayp..chukua jukumu la kuwaombe na kuwasaidia
MASKNI
Hawa nao awakupenda kuwa na shida kama hizo..waombee mungu akawatoe kwenye changa la macho la umskini wakapenye na wao siku moja mkapungiane kwenye setimila...
ukifanya hayo umekamilisha usemi dini ilio bora ni!!
MUNGU AKUBARIKI