Internal
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 3,575
- 3,894
Wewe ni kilaza kweli kwa yeye alieyetengeneza hiyo blarkmark si ili itumike kipi kigeni sasa hapo.Huu ni wizi. Sio jambo jema wenzio wametoa jasho ku develop app halafu wanaweka sehemu wanauza, ww unataka utumie bure. Lau mtandaoni ingekuwa ni kariakoo wewe na wenzako mnaoiba mgeshachomwa moto. Tujifunze kuwa waadilifu sio tunafurahia watu wanavotobolewa majipu wakati sisi wenyewe sio waadilifu. Tujitathmini.
Dunia iko kas kwanini hutumii baiskeli kusafiti mikoani unatumia bus, technologia iko mbele yazamani yabaki kuwa historia.