Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

pitia hapa mimi binafsi imenisaidia
Junior Hamis, post: 19648984, member: 167548"]ngoja ninaribu kuelekeza japo kwa kifup.... hapa ki2 cha kwanza inabidi kutumia simu ya mhusika yaani (victim phone) ukishakuwa nayo ingia kwenye browser serch www.mobile-tracker-free.com
464a2e07aa82569419d55c13277e6b6f.jpg
baada ya hapo install hyo app... ingia setting, security then select unknown source ili kuruhusu installation of apk..... then
a441c9be02e6f2fd12bea99741f29292.jpg
... ukishamlza ku download
28e7f3a3ffce38908527509cf6e97fdb.jpg
aaf6a45445350d13d0ed8aced58635e4.jpg
9c5e20a2924439c2f4db6bdc04b67824.jpg
then create account by using email
eeac50a7478585cc7858b283b81a021d.jpg
baada ya ku create account italeta hapa
4124b5a6651a2efa2a2e427b365ae8b0.jpg
select unavyohtaji kama ni sms, photos, recorded call audio, location nakadhalika kwa wale ambao wana rooted devices unaweza select social networks pia kama Facebook na whatsapp and others
645f395c6b299464d5e4dd25dc241456.jpg
then log in
8c603094a36919fd532bda30c00ce1f4.jpg
weka tick kwenye to accept agreement the log in italeta hivi
91ef01377855d58cd78c4d94ca672f84.jpg
select then
873ead99137add397c7b2f96bac76514.jpg
select social networks for rooted phone the
389c6d09e5f91b5c5f1d71a5dbbaf67a.jpg
after pls wait itakubali hiv
d29beb13a481eeaf0aa92ea07bdc770e.jpg
theb baada ya hapo umemalza utakuwa una log in kwenye website www.mobile-tracker-free.com kwa kutumia device yoyote utakuta kila ki2 kama hivi
24104f421ac80835a405155b9a547ed9.jpg
then
5d0fba9448ecd203149cef1199fe8f8f.jpg
kama ni audio za call
4c5671386c179ea50eff237d78268c81.jpg
na vingine..... nawasilisha nb:do this at your own risk.... sihusiki na ndoa ya mtu...
Mkuu ww ni hatar sana aise nimepractise hiyo kitu na nimefanikiwa sasa nina maswali mawili kwako

1.uki install hii apps kwe cm muonekano wa maandishi unabadilika je hakuna namna naweza install hii apps bila kuathir mwonekano wa awali wa simu?

2.baada ya kuinstal hii apps sion icon yake mkuu hilo lipoje?
 
Wakuu naombeni msaada aisee..nina HTC desire.inaRun android 6..tatizo ni kwamba huwa inatabia ya kujiformat..yan ikiikaa baadavya siku tatu hixi inabidi zile "settings" uziseti upya..sometymes huwa apps zinapotea permanently na kwa zibazobakia mpaka inabidi ni "log in" upya kwny hzo apps mf:Insta,Jf na hata whatsapp inabidi nisajiri upya.. Inakera sana wakuu..naombeni mnisaidie..
Asanteni.
 
Wakuu naombeni msaada aisee..nina HTC desire.inaRun android 6..tatizo ni kwamba huwa inatabia ya kujiformat..yan ikiikaa baadavya siku tatu hixi inabidi zile "settings" uziseti upya..sometymes huwa apps zinapotea permanently na kwa zibazobakia mpaka inabidi ni "log in" upya kwny hzo apps mf:Insta,Jf na hata whatsapp inabidi nisajiri upya.. Inakera sana wakuu..naombeni mnisaidie..
Asanteni.
Kuna virus humo mkuutafuta ant virus inaitwa cm securty itamtoa huyo mdudu.hata mimi samsung yangu ilikuwa na tatizo hilo yaani najikuta aoplication zimrfutika mara log in zote zimejitoaa
 
Mkuu mie ninazo hizo link za gb whatsap,fmwhatsap na whatsap plus tatizo sijui kuweka link humu


Si umetumia browser kuzidownload, sasa ukiwa kwenye ukurasa unaokuruhusu kuzidownload hizo apps juu kwenye box la kuandikia website kunakuwa na hyo link, chakufanya ni kubonyeza kwa muda mrefu hyo link ili upate option ya either ku cut, copy or select text, wewe copy then rudi humu reply text inayotaka huo msaada wa link, kwenye kibox cha kuandikia hyo reply yako bonyeza muda mrefu ili upate ruhusa ya ku paste, ukisha paste utaona link moja kwa moja, then reply hakika utakuwa tayari umetuma hyo link
 
Wakuu salam

Kuna simu naona haikubal kusoma usb nikiconnect kwenye pc ..msaada plz
 
Habari wana jf
Naomba mnisaidie
Nna memory 32 GB
Nimeinstall apk to SD
Tatzo ni ingia playstore updates zinagoma na kudai low space
Hiyo sdcard yako ina free space ngapi mkuu ??

Obviously memory card huwa zinatabia ya kuchoka yaani space inakuwa ipo yakutosha lakini inakwambia space is full

Mkuu jaribu kuitoa hiyo memory card kisha jaribu kuinstal kwenye compyuta yoyote yenye virus scan kisha leta mrejesho
 
Naomba kujua what's app jb na what's app plus ndio nn zinafaida Gan kisha na mm nidawnload
gb whatsapp au whatsapp plus inakupa uwezo wa kubadili mioneko tofauti tofauti na pia kuna themes mbalimbali unazoweza kuweka
pia unaweza kuinstall whatsapp zaidi ya moja ktk simu moja kwa namba tofauti tofauti hata 3 au mbili
 
Back
Top Bottom