Je kama umeoa na bahati mbaya sehemu yako "nyeti" ni ndogo sana, je mkeo akidai talaka kwa kigezo hicho atakuwa amefanya makosa. Au mkeo sehemu zake "nyeti" ni kubwa sana je mmewe akiomba talaka kwa kigezo hicho atakuwa amefanya makosa.
Ukizingatia sheria za dini na maadili aziruhusu kupimana mpaka ndoa