Real One
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 2,158
- 1,873
kwenye simu yenye 1GB RAM inaweza kusuport doz gamez?!
Sina uhakika sana ila simu yangu ina 2GB RAM na zinacheza zote
kwenye simu yenye 1GB RAM inaweza kusuport doz gamez?!
Trafic racer
Temple run 2
Dream league
Subway...etc
Bt hizo 4 ndo nazopend kucheza nkiwa cna kaz ya kufanya..
ankha...dah m cm yang ina 512ram next wik natak nchukue yenye 1gb ram cjui ztakubali
simu yako ina RAM size gani
Yah...hiyo inatosha kidgo...Mkuu jitaidi simu iwe 16 GB Internal kwenda juu na 2 GB RAM.
Hapo unaweza kucheza magem makubwa.
duh....je yenye 8gb internal na 1GB si afadhal kdogo au?!
Napenda Gunship battle
Pakueni hii game top eleven ..be a football manager . Unaweza ukacheza online , yani lazima uwe addicted .
asante....bt ungezitaja zote ingekua vzur ili na sisi tuwez kuienjoy
7)Bangbang
8)wrestling revolution
9)unroll me
10)real track park 3D
11)punch boxing
12)pool billiards
13)Extreme car driving
14)army sniper
15)world of tanks
To be cont...
Nazilizo tajwa na wadau wengine...
mimi natumia samsung galaxy grand niliiroot na nikafanya partition ya memory card kuongeza space ya simu na sasa naenjoy games kubwa kama alizotaja jamaa hapo juu
Mimi huwa Naogopa Sana Ku Root SIMU.. Unaweza nishawish Mkuu hata Kidogo Faida zake
Mimi Napenda A Fast Phone Je root inasaidia kwenye jambo hili