Kwa wale wapenzi wa IGI 2 nimecheza game mpaka kwenye ile mission ya kule libya. nimefika natakiwa kuonana na yule mlinzi anipeleke kunakohusia.tatizo ni kuwa nikifika kwa mlinzi wala haniongozi,hafanyi jambo lolote zaidi ya kuwa yupo busy tu na mambo yake.. mliocheza hii game kwenye mission hii mlifanyaje? ni baada ya kuvuka boda.ilitakiwa huyu mlinzi aniongoze kuelekea sehemu flan na hakuna sseheme ya kum command ni uato kmama sikosei.