Tusalimiane kikwetu..

Tusalimiane kikwetu..

Ni lugha nyepesi sana. Kusoma na kuandika nilijifunzia bible ya kibena na kitabu cha nyimbo za dini kwa kibena kila siku usiku.
Nimekulia kijijini na lugha kuu ni kibena. Kwa hiyo, zaidi ya masaa 19 unatumia kibena, kwa nini asijue!!
Hongera wafunze na watoto wako pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom