DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,460
- 99,102
Hili tatizo la ajira,
hasa kwa wasomi limekuzwa kuliko uhalisia.
Vijana wasomi wamekua na deko sana wakilazimisha waziishi ndoto zao, bila kuangalia hali halisi ya soko la ajira kwa wakati tulionao sasa.
Catoni ya maji ya lita 1.5 inauzwa 3,100 zinakaa chupa 6.
Ukiuza rejareja kwa 1,000 utapata 6,000
Maana ake faida ni 2,900 kwa kila catoni.
Kwa msimu huu wa joto,
Ukiuza catoni 3 (chupa 18) unauhakika wakuingiza 8,700 kama faida.
Ukitoa matumizi ya friji, ushuru n.k, mfano 2700. Unauhakika wa kubakiwa na 6,000 cash.
Hiyo ela 6,000/=
Ni posho inayotosha kuilisha familia nzima ya watu 5 kuanzia asbuh chai, chakula cha mchana na chakula cha jioni.
(Wakishua hawawezi kuamini)
Sasa unakuta,
Kijana analalamika tatizo mtaji,
Ila ukiangalia ilo wazo nlotoa apo juu mtaji wake hauzidi sh. 10,000.
hasa kwa wasomi limekuzwa kuliko uhalisia.
Vijana wasomi wamekua na deko sana wakilazimisha waziishi ndoto zao, bila kuangalia hali halisi ya soko la ajira kwa wakati tulionao sasa.
Catoni ya maji ya lita 1.5 inauzwa 3,100 zinakaa chupa 6.
Ukiuza rejareja kwa 1,000 utapata 6,000
Maana ake faida ni 2,900 kwa kila catoni.
Kwa msimu huu wa joto,
Ukiuza catoni 3 (chupa 18) unauhakika wakuingiza 8,700 kama faida.
Ukitoa matumizi ya friji, ushuru n.k, mfano 2700. Unauhakika wa kubakiwa na 6,000 cash.
Hiyo ela 6,000/=
Ni posho inayotosha kuilisha familia nzima ya watu 5 kuanzia asbuh chai, chakula cha mchana na chakula cha jioni.
(Wakishua hawawezi kuamini)
Sasa unakuta,
Kijana analalamika tatizo mtaji,
Ila ukiangalia ilo wazo nlotoa apo juu mtaji wake hauzidi sh. 10,000.