Tusaidiane: Mwenye GPA 2.7

Tusaidiane: Mwenye GPA 2.7

kufundisha chuo unatakiwa kuwa na GPA ya kuanzia 3.8 mkuuu

Na Kuwa Mwanachama Wa CHADEMA/UKAWA Nako Unatakiwa Uwe Na GPA Ya Ngapi? Kwani Nasikia Mwenyekiti Wao Mbowe Na Sumaye Kwa Pamoja GPA Zao Ukizichanganya Unapata 1.3.
 
GPA 2.7,unaweza kuajiliwa kokote.
Hiyo GPA ndo ufauru wa kati aiseee.sema usilegeze kamba maana unatakiwa na gpa 3 kuendelea ndo unakuwa ktka mazingira mazuri zaidi
 
Kuna kampuni kibao zinaajiri bila kuangalia GPA
 
ni kweli GPA ni nzuri lakin unapokuja kwenye uhalisia wa utendaji kazi ni wewe binafsi tena jaman ukifatilia vizuri wenye GPA kubwa kubwa wako mitaan,:A S shade::A S shade: bahati na umaili wako kwenye interview tuuuu unaweza ukawa na GPA YA KUJICHORA mapajani na kupiga chabo mwanzo mwisho
 
SAUT Kwetu Hiyo Ni Failure Tena Ya KUTUKUKA Kabisa. Kumbe Watu Kumbe Mna GPA Za KUSIKITISHA Hivi? Acheni WAKENYA, WAGANDA Na WANYARWANDA Waje Wachukue AJIRA Zetu Na Sisi Watanzania Tubaki Tu Ktk Kupigana MAJUNGU, Kufanyiana FITNA Na Kurogana Kwa Kutoana MISHIPA.

Hujui kwamba sauti wanasoma vilaza ?? Au unajitoa akili most of them waliangukia pua advance
 
GPA 2.7,unaweza kuajiliwa kokote.
Hiyo GPA ndo ufauru wa kati aiseee.sema usilegeze kamba maana unatakiwa na gpa 3 kuendelea ndo unakuwa ktka mazingira mazuri zaidi

Gpa ina matter sana kwenye soko letu hili la survival for the fittest the higher gpa the higher chance of getting good job kuna taasisi kibao zinaweka limit za gpa wanazotaka ili uajiriwe except kwa serikali japo kuna baadhi ya taasisi za serikali zina set minimum gpa limit
So vijana msijidanganye kazeni gpa za 2 sio ishu labda kipind cha kina baba Liz wanamaliza ndo kazi ulikua unapata kirahisi
 
Wengi wanaoenda hicho Chuo hukosa nafasi udsm,Udom Mzumbe na Sua wengi ni makapi ya division three za mwisho

Kweli mkuu then wakipata vgpa vya 3 wanajiona vipanga.anaebisha tubishane kwa facts most ya vyuo vya private wanasoma vilaza,lecturers wanawabembeleza na kuwapa vimaksi vya bure , vyuo vya serikali lecturers hawana time za kubembelezana ukizingua umezingua Diva Beyonce
 
Last edited by a moderator:
Na Kuwa Mwanachama Wa CHADEMA/UKAWA Nako Unatakiwa Uwe Na GPA Ya Ngapi? Kwani Nasikia Mwenyekiti Wao Mbowe Na Sumaye Kwa Pamoja GPA Zao Ukizichanganya Unapata 1.3.
Wewe utakua umesoma saut , mawazo yako yako kimgando mgando tu kama akili yako ilivyo widen your brain
 
Hakuna chuo Tanzania ambacho hakifaamu GPA 2.0 japo sio nzuri hata kidogo kwenye ushindani wa ajira hata saut hiyo pass ipo ila huwezi fananisha na vyuo kama udsm na matawi yake kwanza cut point yenyewe ni kuanzia 5.0
 
Mzungu ktk kuajil haangalii gpa anaangalia unajua nn katika kazi yako na utendaj mfano katika uhandisi kuna wenye gpa kubwa tena kuanzia nne lakin kiutendaj wabovu wa kutupwa kushinda mwenye ndogo ya hapo...kwangu mwenye gpa ya 2.7 haina shida anaajiriwa kama kawaida km yuko vzr ktk fani yake na ni mtendaji mzr..
 
Gpa sio akili vyuo kibao bongo wananunua gpa mtu ikifika mwisho anatoa hongo anabadilishiwa gpa so msikariri kuwa watu wenye gpa kubwa Ndio genious labda inategemea kamaliza Chip gani
 
Back
Top Bottom