Tusaidiane: Mwenye GPA 2.7

Tatizo Langu Ni Kwamba Kwa Aina Ya UPOPOMA ULIOTUKUKA Ulionao Huwezi Ukawa Na GPA Ya 4.2 ILA Ya 2.4 Nitakukubalia.

We si mzima aisee, kama wewe ilikushinda ni wewe sio wengine, akili yako ni p.u.m.b.a tu.
Msaidie aliyeanziasha mada, achana na mimi,
 
hata GPA ya 2.0 kazi unapata popote unategemea tu umejipangaje/nani anakujua hii ndio Tanzania ya ccm
 
Sasa mtu mwenye gpa ya 2.0 atakuwaje vizuri kichwani? Yaani anakuwa hajui hata kujielezea ukamuelewa! Tusidanganyane, gpa ni kipimo kizuri cha mtu anayeelewa...
Hapana .... tulimaliza chuo na jamaa mmoja mwenye GPA 2.2 ... guest what--alikuwa wa kwanza kupata scholarship na Master's degree (tena ya chuo chenye jina USA)
 
Hapana .... tulimaliza chuo na jamaa mmoja mwenye GPA 2.2 ... guest what--alikuwa wa kwanza kupata scholarship na Master's degree (tena ya chuo chenye jina USA)

mkuu unatudanganya kwa gpa hyo kupata scholarship bila kuwa na working experience yakutosha huwez pata
 
Back
Top Bottom