jasirimzoefu
Member
- Sep 19, 2015
- 35
- 15
Imean chuo gani
Wasiwasi gani, nimekuandikia 4.2, wewe unalazimisha 2.4. Nini tatizo lako???
Tatizo Langu Ni Kwamba Kwa Aina Ya UPOPOMA ULIOTUKUKA Ulionao Huwezi Ukawa Na GPA Ya 4.2 ILA Ya 2.4 Nitakukubalia.
Hicho kizungu chako, kama una 2.7 si ya kwakoHuyo bonge la failures
Hapana .... tulimaliza chuo na jamaa mmoja mwenye GPA 2.2 ... guest what--alikuwa wa kwanza kupata scholarship na Master's degree (tena ya chuo chenye jina USA)Sasa mtu mwenye gpa ya 2.0 atakuwaje vizuri kichwani? Yaani anakuwa hajui hata kujielezea ukamuelewa! Tusidanganyane, gpa ni kipimo kizuri cha mtu anayeelewa...
Acha uongo wako bwana muziki wa SAUT halafu useme degree zake hazina ubora, we una elimu gani na umesoma chuo gani, acha zarau zisizo kuwa na tijahizo ni gpa za SAUT mkuu hazina ubora ila kazi utapata japo vumulia sana.
Hapana .... tulimaliza chuo na jamaa mmoja mwenye GPA 2.2 ... guest what--alikuwa wa kwanza kupata scholarship na Master's degree (tena ya chuo chenye jina USA)
Naapa.. ni kweli kabisa/natoa ushuhuda tu. Sipati faida yoyote kidanganya public.mkuu unatudanganya kwa gpa hyo kupata scholarship bila kuwa na working experience yakutosha huwez pata