Wadau nimepata taarifa za kushtua sana hapa kwamba jeshi la polisi limepiga marufuku mazishi ya kitaifa kesho kwa nashujaa waliouawa kwa kupigwa rusasi za motoi na polisi wiki iliyopita.Inasemekana wamesema miili ikiagwa katika viwanja vya NMC kutakuwa na uvunjifu wa amani.Wakasema eti watatumia kila silaha kupambana na watakaokiuka agizo hilo la polisi.Ninajua watu wengi wako njiani kuja kushuhudia na kuhudhuria tukio hilo la kihistoria.
Watu mlioko Arusha mkiwemo viongozi na ile kamati ya mazishi tufahamisheni mapema kama kweli polisi imeamua hivyo na mtuambie cha kufanya.
Watu mlioko Arusha mkiwemo viongozi na ile kamati ya mazishi tufahamisheni mapema kama kweli polisi imeamua hivyo na mtuambie cha kufanya.